DIAMOND ATWAA TUZO TATU ZA CHANNEL O MUSIC AWARDS
Mpenzi wa sasa wa Diamond,Zari akiwa amebeba tuzo.
Mama Diamond,Diamond na Zari wakipita kwenye red carpet.
Madam Rita na Salam Jabir wakimsapoti Diamond.
Diamond akiwa na mameneja wake Babu Tale na Mkubwa Fela.
Most Gifted West Video
‘Turn Up-Olamide
Most Gifted Ragga/Dancehall
Buffalo Soulja
The Most Gifted Kwaito
Uhuru ft Oskido & Professor Kalawa -tjukutja
Most Gifted East Video
Diamond Platnumz
Most Gifted Dance Video
Busiswa-Ngoku
Most Gifted...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDIAMOND ATWAA TUZO 3 ZA CHANNEL O SAUZ
Diamond akiwa na tuzo. MSANII Naseeb Abdul ‘Diamond Platumz’ ametwaa tuzo tatu za Channel O usiku huu nchini Afrika Kusini. Tuzo hizo ni; Most Gifted new comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One!
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Diamond ajizolea tuzo tatu za Channel O
Mwanamuziki mwenye sifa kedekede nchini Tanzania, Naseeb Abdul, au 'Diamond Platnumz', anaendelea kujizolea sifa kimataifa baada ya kushinda tuzo 3 za Channel O African Music Awards.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FfuWuWN2_SI/VHrMSoHjIjI/AAAAAAAG0U0/LWdnPz3KzJc/s72-c/images.jpg)
Tiwa Savage, Olamide, Diamond win at Channel O Music Video Awards 2014 (Full list of winners)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FfuWuWN2_SI/VHrMSoHjIjI/AAAAAAAG0U0/LWdnPz3KzJc/s1600/images.jpg)
Here is the list of all the winners:MOST GIFTED MALE
CASSPER NYOVEST – DOC SHEBELEZA*** Winner
DAVIDO – AYERIKY RICK FT OKMALUMKOOLKAT – AMANTOMBAZANEK.O. FT KID X –...
10 years ago
Bongo512 Dec
Diamond na Ommy Dimpoz watajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards 2015 za Uganda
Mastaa wa Tanzania Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz na Omary Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz, nyimbo zao zimetajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards (HMA2015) za Uganda zinazotarajiwa kutolewa mwakani. ‘Number One’ (original) ya Diamond na ‘Ndagushima’ ya Dimpoz zinachuana na nyimbo zingine za Afrika Mashariki kwenye kipengele kimoja cha East Africa Super Hit. Nyimbo za […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZrXAovHTfMuMHfX3M8KYvBLU4hgwMJqAckJ0*O8Cvgfum7jeFplZg9IGzQIZJYBbAK*H-ApDa4B8czZ9qmnsg2/Diamond22.jpg?width=650)
DIAMOND ATWAA TUZO YA KORA
Staa wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond'. Cheti kutoka Kora alichopokea Diamond Platnumz. STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo za Kora katika kipengele cha Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki. Meneja wa msanii huyo, Babu Tale amethibitisha kupokea cheti cha heshima kuhusu tuzo hiyo huku akisema wanasubiri utaratibu… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OkFU-1s0oOHVAURnACytp3rftrHi*5yBuzt-4ru7oVDcIzlbYe4Wk1L3Rv7YPklTT6XOe1xgyTZejWDe2xcGIse/diamond.jpg?width=750)
DIAMOND APELEKA TUZO ZA CHANNEL O KWA JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na staa  wa Bongo  Fleva, Nasibu Abdul  ' Diamond Platnumz ' baada ya kumtembelea leo Ikulu jijini Dar es Salaam.…
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DPrxX8yfjkBuu40NZYa1HutvFc4Ijone-3ZQrldeHwBwml07QsKwlLTez7G8FGNVjcCXMtrr3BwFb4YMRpDVvbcIUrDO9fgb/tuzo.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ATWAA TUZO UGANDA
Kushoto ni tuzo aliyochukua Diamond Platnumz. MKALI wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo ya Msanii Bora wa Afrika katika tuzo zilizotolewa na Uganda Entertainment. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Diamond amewashukuru mashabiki wake waliompigia kura na kufanikiwa kutwaa tuzo hiyo pamoja na kuwaomba waendelee kumpigia kura katika vipengele vingine ambavyo anawania tuzo mbalimbali. Diamond Platnumz....
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Diamond atwaa tuzo ya Mtv-Base
NYOTA ya Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond’, imezidi kung’aa baada ya kutwaa tuzo ya Msanii Bora wa mwezi huu wa Kituo cha Televisheni cha Mtv-Base cha Afrika...
11 years ago
GPLDIAMOND KAMA KAWA, ATWAA TUZO AFRIMMA
Diamond wakati akielekea kwenye ukumbi linapofanyika zoezi la utoaji tuzo za Afrimma. STAA wa B ongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' mpaka sasa ametwaa tuzo moja ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki katika Tuzo za Afrimma zinazoendelea jijini Texas nchini Marekani. Staa huyo anawania tuzo katika vipengele vitano ambavyo ni: Msanii bora wa mwaka Afrika, Wimbo wa mwaka, Collabo bora, Video bora ya… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania