Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’
Diamond Platnumz ameongeza idadi ya tuzo za kimataifa alizopata mwaka huu 2014 baada ya kushinda tuzo nyingine ya ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) zilizotolewa huko Lagos, Nigeria Dec.7 Kupitia Instagram mwimbaji huyo wa single mpya ‘Ntampata wapi’ ameshare picha ya tuzo na kuandika: “Thanks God, we have Cheated another one on The Future Awards Africa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Sep
Eddie Kenzo ashinda ‘African Artist of The Year’ aliyokuwa akiwania na Diamond katika tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (NEA)
11 years ago
Bongo515 Aug
Diamond Platnumz ashinda tuzo nyingine nchini Burundi
10 years ago
GPLDIAMOND ALAMBA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA
10 years ago
CloudsFM08 Dec
DIAMOND ANYAKUA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014.
Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond aliandika ujumbe huu: "Thanks God, we have cheated another one on the...
11 years ago
Vijimambo
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO NYINGINE NIGERIA



9 years ago
Bongo508 Dec
Watanzania washindwa kung’ara kwenye ‘The Future Awards Africa 2015’ Nigeria

Tanzania ilikuwa na wawakilishi watatu kwenye tuzo za ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) za mwaka huu zilizotolewa Jumapili Dec.6 huko jijini Lagos, Nigeria. Miongoni mwa waliotuwakilisha alikuwemo muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee.
Bahati haikuwa yetu safari hii kwani hakuna muwakilishi wetu yeyote aliyeibuka na tuzo. Mbali na Vanessa wengine waliotuwakilisha ni Felix Richard Manyogote na Witness Sanga. Vanessa alienda Nigeria kuhudhuria tuzo hizo.
Mwaka jana (2014) Diamond Platnumz...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Diamond Platnumz alamba tuzo nyingine huko Nigeria
.jpg)

10 years ago
Vijimambo08 Dec
DIAMOND ALAMBA TUZO NYINGINE NCHINI NIGERIA-GPL
Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond aliandika ujumbe huu: "Thanks God, we have cheated another one on the...