Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania washindwa kung’ara kwenye ‘The Future Awards Africa 2015’ Nigeria

Vanessa

Tanzania ilikuwa na wawakilishi watatu kwenye tuzo za ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) za mwaka huu zilizotolewa Jumapili Dec.6 huko jijini Lagos, Nigeria. Miongoni mwa waliotuwakilisha alikuwemo muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee.

Vanessa

Bahati haikuwa yetu safari hii kwani hakuna muwakilishi wetu yeyote aliyeibuka na tuzo. Mbali na Vanessa wengine waliotuwakilisha ni Felix Richard Manyogote na Witness Sanga. Vanessa alienda Nigeria kuhudhuria tuzo hizo.

Mwaka jana (2014) Diamond Platnumz...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’

Diamond Platnumz ameongeza idadi ya tuzo za kimataifa alizopata mwaka huu 2014 baada ya kushinda tuzo nyingine ya ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) zilizotolewa huko Lagos, Nigeria Dec.7 Kupitia Instagram mwimbaji huyo wa single mpya ‘Ntampata wapi’ ameshare picha ya tuzo na kuandika: “Thanks God, we have Cheated another one on The Future Awards Africa […]

 

10 years ago

Bongo5

Tanzania yang’ara kwenye All Africa Business Leaders Awards, Mengi, Ngowi na Shanker washinda

Wafanyabiashara watatu wa Tanzania wameshinda kwenye tuzo za ‘All Africa Business Leaders Awards’, AABLA zilizoandaliwa na CNBC Africa na kutangazwa Nairobi, Kenya September 20. Patrick Ngowi, Jacqueline Ntuyabaliwe na Reginald Mengi Hizo ni tuzo za biashara Africa zinazoheshimiwa zaidi zilizoandaliwa kuwatambua watu waliofanya mambo makubwa kwenye biashara zao. Tuzo za East African Business Leader of […]

 

9 years ago

Bongo5

Diamond na Vanessa watajwa kuwania tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ za Nigeria

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Mtandao wa ku-download muziki tooXclusive.com wa Nigeria ambao ndio waandaaji wa tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ wametangaza majina ya nominees wa mwaka huu.

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Kuna jumla ya vipengele 18 vinavyoshindaniwa, na kipengele cha ‘African Artiste Of The Year’ ndio kinachowahusu wasanii wa nje ya Nigeria ikiwemo Tanzania.

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio wasanii wa Tanzania wanaoshindana na Sauti Sol (Kenya), Sarkodie (Ghana), Cassper Nyovest na AKA (South Africa).

AFRICAN ARTISTE OF THE...

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa

Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya nne Afrika kwa kuweka mazingira wezeshi ya ufanyaji biashara ndogondogo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.

“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...

 

9 years ago

Habarileo

Ashanti yazidi kung’ara daraja la kwanza

TIMU ya soka ya Ashanti United jana iliifanyia kitu mbaya Polisi Dodoma baada ya kuchapa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Karume Ilala Dar es Salaam. Dalili za Ashanti kushinda zilionekana tangu mwanzo kwani ilitawala mchezo karibu maeneo yote.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waliong’ara kwenye Red-Carpet 2015 Grammy Awards hawa hapa!

Madonna, Giuliana Rancic, Sam Smith.(All Photos by Getty Images).

grammys1

Charlie Benante, Kelly Osborne, Jesse McCartney.

grammys2

Jessie J, HAIM, Ariana Grande

grammy4

Flip, Soli Olds, Angelique Kidjo.

red-carpet-57th-grammy-awards-trip-recovered

Billy Ray Cyrus, Clean Bandit, Aloe Blacc.

grammys5

Childish Gambino, Gwen Stefani, Sean Paul

grammys6

Big Sean, Chrissy Tiegan and John Legend, Dierks Bentley.

grammys7

Katherine McPhee, Weird Al, Jhene Aiko.

grammys8

Hozier, Sia, Blake Shelton and Miranda Lambert.

grammys9

Ed Sheeran, Annie Lennox, Questlove

grammys10

Chris Brown, Meghan Trainor, Ryan Adams

grammys11

 

9 years ago

Bongo Movies

Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo

Vanessa-Afrima

Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.

“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...

 

10 years ago

Dewji Blog

CSR in Africa Awards: 8 finalists will run for the 1st edition of the awards launched by the EU-Africa Chamber of Commerce

euacc

“Getting ready for the European Year for Development 2015”

BRUSSELS, Belgium, November 5, 2014/– On Wednesday, 26th November 2014, the EU-Africa Chamber of Commerce (EUACC) will host a gala ceremony to showcase the winning projects of the first edition of the “CSR in Africa Awards”. (http://www.csr-in-africa.eu). The EU-Africa Chamber of Commerce, with the support of the EU Commission and Afreximbank, will reward some of the best Corporate Social Responsibility (CSR) projects conducted in...

 

11 years ago

Michuzi

MPIGIE KURA GAZUKO KWENYE TUZO ZA AFRICA GOSPEL MUSIC AWARDS

                                                     GAZUKO AKIWA KWENYE POZIGazuko ni kijana pekee ambaye anafanya muziki wa injili kwa style ya Hip hop na ni miongoni mwa wasanii wa muziki wa injili wanaoiwakilisha nchi ya Tanzania kwenye Tuzo za Africa Gospel Music Awards kwa kifupi zinajulikana kama (AGMA) ambapo kwa hapa Tanzania mwaka huu wameingia waimbaji kama Rose Mhando,Christina Shusho pamoja na Gazuko...Gazuko ameomba watanzania na wasio watanzania waweze kumpigia kura kwa wingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani