Watanzania washindwa kung’ara kwenye ‘The Future Awards Africa 2015’ Nigeria
Tanzania ilikuwa na wawakilishi watatu kwenye tuzo za ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) za mwaka huu zilizotolewa Jumapili Dec.6 huko jijini Lagos, Nigeria. Miongoni mwa waliotuwakilisha alikuwemo muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee.
Bahati haikuwa yetu safari hii kwani hakuna muwakilishi wetu yeyote aliyeibuka na tuzo. Mbali na Vanessa wengine waliotuwakilisha ni Felix Richard Manyogote na Witness Sanga. Vanessa alienda Nigeria kuhudhuria tuzo hizo.
Mwaka jana (2014) Diamond Platnumz...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo508 Dec
Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’
10 years ago
Bongo522 Sep
Tanzania yang’ara kwenye All Africa Business Leaders Awards, Mengi, Ngowi na Shanker washinda
9 years ago
Bongo509 Dec
Diamond na Vanessa watajwa kuwania tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ za Nigeria
![Diamond Platnumz na Vanessa Mdee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Diamond-Platnumz-na-Vanessa-Mdee-300x194.jpg)
Mtandao wa ku-download muziki tooXclusive.com wa Nigeria ambao ndio waandaaji wa tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ wametangaza majina ya nominees wa mwaka huu.
Kuna jumla ya vipengele 18 vinavyoshindaniwa, na kipengele cha ‘African Artiste Of The Year’ ndio kinachowahusu wasanii wa nje ya Nigeria ikiwemo Tanzania.
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio wasanii wa Tanzania wanaoshindana na Sauti Sol (Kenya), Sarkodie (Ghana), Cassper Nyovest na AKA (South Africa).
AFRICAN ARTISTE OF THE...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rlh_AZKF6Gc/XlvTZKMTUkI/AAAAAAALgOc/hSbmzZmklGU8aiDKbxeLAxbUld88DoW4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGL9990-2048x1365.jpg)
Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.
“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...
9 years ago
Habarileo03 Jan
Ashanti yazidi kung’ara daraja la kwanza
TIMU ya soka ya Ashanti United jana iliifanyia kitu mbaya Polisi Dodoma baada ya kuchapa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Karume Ilala Dar es Salaam. Dalili za Ashanti kushinda zilionekana tangu mwanzo kwani ilitawala mchezo karibu maeneo yote.
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Waliong’ara kwenye Red-Carpet 2015 Grammy Awards hawa hapa!
Madonna, Giuliana Rancic, Sam Smith.(All Photos by Getty Images).
Charlie Benante, Kelly Osborne, Jesse McCartney.
Jessie J, HAIM, Ariana Grande
Flip, Soli Olds, Angelique Kidjo.
Billy Ray Cyrus, Clean Bandit, Aloe Blacc.
Childish Gambino, Gwen Stefani, Sean Paul
Big Sean, Chrissy Tiegan and John Legend, Dierks Bentley.
Katherine McPhee, Weird Al, Jhene Aiko.
Hozier, Sia, Blake Shelton and Miranda Lambert.
Ed Sheeran, Annie Lennox, Questlove
Chris Brown, Meghan Trainor, Ryan Adams
9 years ago
Bongo Movies24 Dec
Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo
Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.
“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
CSR in Africa Awards: 8 finalists will run for the 1st edition of the awards launched by the EU-Africa Chamber of Commerce
“Getting ready for the European Year for Development 2015”
BRUSSELS, Belgium, November 5, 2014/– On Wednesday, 26th November 2014, the EU-Africa Chamber of Commerce (EUACC) will host a gala ceremony to showcase the winning projects of the first edition of the “CSR in Africa Awards”. (http://www.csr-in-africa.eu). The EU-Africa Chamber of Commerce, with the support of the EU Commission and Afreximbank, will reward some of the best Corporate Social Responsibility (CSR) projects conducted in...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eO5Kll23l14/U89pfS9F6DI/AAAAAAAF5Cs/TqmgjZo2Yu0/s72-c/unnamed+(8).jpg)
MPIGIE KURA GAZUKO KWENYE TUZO ZA AFRICA GOSPEL MUSIC AWARDS
![](http://3.bp.blogspot.com/-eO5Kll23l14/U89pfS9F6DI/AAAAAAAF5Cs/TqmgjZo2Yu0/s1600/unnamed+(8).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10