Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yang’ara kwenye All Africa Business Leaders Awards, Mengi, Ngowi na Shanker washinda

Wafanyabiashara watatu wa Tanzania wameshinda kwenye tuzo za ‘All Africa Business Leaders Awards’, AABLA zilizoandaliwa na CNBC Africa na kutangazwa Nairobi, Kenya September 20. Patrick Ngowi, Jacqueline Ntuyabaliwe na Reginald Mengi Hizo ni tuzo za biashara Africa zinazoheshimiwa zaidi zilizoandaliwa kuwatambua watu waliofanya mambo makubwa kwenye biashara zao. Tuzo za East African Business Leader of […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

2015 All Africa Business Leaders Awards Call For Entries

unnamed

The 2015 All Africa Business Leaders Awards (AABLA) in Partnership with CNBC Africa announced today its 5th year honoring outstanding achievements in business on the content, with the official opening of the Call for Entries at www.aablawards.com.
 
The AABLA recognise Africa’s bold leaders and change-makers of business in East, West and Southern Africa. The winners of each region will go through to the Finale, which is set to take place in South Africa, in November 2015, to determine the All...

 

9 years ago

Bongo5

Watanzania washindwa kung’ara kwenye ‘The Future Awards Africa 2015’ Nigeria

Vanessa

Tanzania ilikuwa na wawakilishi watatu kwenye tuzo za ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) za mwaka huu zilizotolewa Jumapili Dec.6 huko jijini Lagos, Nigeria. Miongoni mwa waliotuwakilisha alikuwemo muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee.

Vanessa

Bahati haikuwa yetu safari hii kwani hakuna muwakilishi wetu yeyote aliyeibuka na tuzo. Mbali na Vanessa wengine waliotuwakilisha ni Felix Richard Manyogote na Witness Sanga. Vanessa alienda Nigeria kuhudhuria tuzo hizo.

Mwaka jana (2014) Diamond Platnumz...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yang’ara mpango wa UN

TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yang’ara kuogelea

Muogeleaji  wa Tanzania, Ammaar Ghadiyali amefanikiwa kuingia hatua 16 bora ya  Michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya kuongoza kwenye mbizi za mita 50 hapo jana.

 

9 years ago

Michuzi

BUSINESS LEADERS FROM YOUNG PRESIDENTS’ ORGANIZATIONSEEK GROWTH AND EXTENDING ECONOMIC OPPORTUNITIES IN TANZANIA, AFRICA’S NEWEST FRONTIER

The Managing Director of Sumaria Group, Ankush Shah and Hussein Hamadi, Chairman of Darling Tanzania and honorary Consul of Sierra Leone addressing journalists in Dar es salaam yesterday during the opening of the two day meeting for over sixty business leaders from Young Presidents’ Organization (YPO), ,the world’s premier network of chief executives and business leaders who are meeting in Dar es Salaam to share insights about the top investment opportunities in Tanzania.(Photo: Our Staff...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yang’ara mapinduzi ya kijani

TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika, zinazosonga mbele vyema katika utekelezaji wa mapinduzi ya kijani kwa kuwezesha wananchi wake kuwa na chakula cha kutosha. Taasisi ya Mapinduzi ya Kijani barani Afrika (AGRA) imetoa maelezo hayo, wakati wataalamu wake walipokuwa na kikao cha mwaka mjini Unguja na kufafanua kuwa wameridhishwa na jinsi Tanzania inavyoendelea kukabiliana na tatizo la mbegu na uzalishaji wake.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania yang’ara katika utawala bora

MPANGO wa Afrika wa kujitathmini kiutawala bora (APRM) umebainisha kuwa Tanzania ni moja ya nchi zinazofanya vizuri katika utawala bora.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yang’ara uzinduzi wa Big Brother HOTSHOTS!

DSC_0165

Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa shindano la Big Brother HOTSHOTS msimu wa tisa iliyoandaliwa maalum kwa wadau wa DStv na waandishi wa habari usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena.

Bi. Kambogi alitoa rai kwa Watanzania kuwa wazalendo kwa kuwapigia kura nyingi washiriki wetu wawili wanaoiwakilisha nchi kwenye shindano hilo na kutoa angalizo kwa wazazi na walezi kuhusiana na shindano...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yang'ara katika siku ya kwanza ya big brother afrika

 Mwanadada Laveda kutoka Tanzania akilakiwa kwa shangwe alipoingia ndani ya jumba la Big Brother Africa Hotshots usiku wa leo baada ya kushinda kwa kura nyingi sana shindano la vipaji ambapo kila mshiriki alipewa nafasi ya dakika tatu kuonesha kipaji chake. Laveda aliingia na Saxophone na kufurahisha kadamnasi kwa umahiri wake na hatimaye akapewa cheo cha kiongozi wa nyumba wa kwanza katika onesho hili kwa mwaka huu.Laveda akipuliza saxophone kwa umahiri mkubwa uliompa kura kibao usiku huu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani