Ashanti yazidi kung’ara daraja la kwanza
TIMU ya soka ya Ashanti United jana iliifanyia kitu mbaya Polisi Dodoma baada ya kuchapa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Karume Ilala Dar es Salaam. Dalili za Ashanti kushinda zilionekana tangu mwanzo kwani ilitawala mchezo karibu maeneo yote.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Jan
Ligi daraja la kwanza yazidi kunoga
LIGI daraja la kwanza inatarajiwa kuendelea tena leo kwa michezo tisa katika viwanja tofauti. Ashanti United itamenyana na Polisi Dodoma kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, mechi inayotarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuachana kwa mbali kwenye msimamo kwenye kundi A.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rlh_AZKF6Gc/XlvTZKMTUkI/AAAAAAALgOc/hSbmzZmklGU8aiDKbxeLAxbUld88DoW4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGL9990-2048x1365.jpg)
Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.
“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...
9 years ago
Bongo508 Dec
Watanzania washindwa kung’ara kwenye ‘The Future Awards Africa 2015’ Nigeria
![Vanessa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/Vanessa-300x194.jpg)
Tanzania ilikuwa na wawakilishi watatu kwenye tuzo za ‘The Future Awards Africa’ (TFAA) za mwaka huu zilizotolewa Jumapili Dec.6 huko jijini Lagos, Nigeria. Miongoni mwa waliotuwakilisha alikuwemo muimbaji wa ‘Never Ever’ Vanessa Mdee.
Bahati haikuwa yetu safari hii kwani hakuna muwakilishi wetu yeyote aliyeibuka na tuzo. Mbali na Vanessa wengine waliotuwakilisha ni Felix Richard Manyogote na Witness Sanga. Vanessa alienda Nigeria kuhudhuria tuzo hizo.
Mwaka jana (2014) Diamond Platnumz...
9 years ago
Bongo Movies24 Dec
Vanessa Mdee Afunguka Sababu ya Kung’ara Kimataifa Kuliko Wasanii Wengine wa Kike wa Kibongo
Staa wa Bongo Fleva,Vanessa Mdee ‘V Money’ amefunguka sababu za kung’ara kwa mziki wake na kubahatika kupata tuzo kadhaa za Kimataifa kuliko wasanii wengine wa kike wa Kibongo.
“Ujue kuna tuzo zingine zinatofautiana kuna zingine wapo wasanii wa Kitanzania ambao tuzo fulani wametajwa, na zingine hawakubahatika kuwepo,ukweli ni kuwa wale wanaoandaa tuzo pia wanaangalia ni msanii gani anafahamika zaidi kutoka nchi fulani yaani msanii anakuwa anajiuza mwenyewe zaidi Kimataifa,’’Alisema Vanessa...
11 years ago
Habarileo31 Jan
Tanzania yazidi kung’ara kimataifa
TANZANIA imeendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ya kimataifa, ambapo sasa imeibuka kuwa mshindi kimataifa na kukubaliwa kuanzisha mradi mkubwa wa Kanda ya Kati wa Uchukuzi. Mradi huo utakaohusisha miundombinu ya reli, barabara na bandari unatarajiwa kuanza kutekelezwa wakati wowote nchini.
9 years ago
Habarileo14 Dec
Madini yazidi kutesa ligi daraja la pili Arusha
TIMU ya soka ya Madini ya Arusha juzi iliendelea kuutumia vema uwanja wake wa nyumbani wa Mwalimu Nyerere uliopo wilayani Mbulu mkoani Manyara baada ya kuifunga Pamba ya Mwanza magoli 2-0 katika mchezo mkali wa ligi daraja la pili ngazi ya taifa.
10 years ago
MichuziTANZANITE YAZIDI KUNG'ARA KWENYE MAONYESHO YA VITO NCHINI BANGKOK
10 years ago
VijimamboNYOTA YA LOWASSA YAZIDI KUNG'ARA AWAPIKU WENZAKE KWA ASILIMIA 20 NI KATIKA KUWANIA URAIS WA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo03 Mar
Azam kudhamini daraja la kwanza
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/TFF-3March2015.jpg)
Mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) ambao hukutanisha viongozi wa Klabu za Ligi Kuu ya Soka Bara na Ligi Daraja la Kwanza, uliofanyika Februari 28 mwaka huu, umejadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja kujulishwa taarifa za kupatikana kwa mdhamini wa Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao, ambaye ni Azam Media.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo, Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo pia wajumbe walijadili utendaji wa kazi za kila siku za bodi hiyo na mfumo...