Azam kudhamini daraja la kwanza
Mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) ambao hukutanisha viongozi wa Klabu za Ligi Kuu ya Soka Bara na Ligi Daraja la Kwanza, uliofanyika Februari 28 mwaka huu, umejadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja kujulishwa taarifa za kupatikana kwa mdhamini wa Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao, ambaye ni Azam Media.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo, Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo pia wajumbe walijadili utendaji wa kazi za kila siku za bodi hiyo na mfumo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KJHI7u4jbRI/VOhDzRT4EgI/AAAAAAAHE50/dE67VTVNFfQ/s72-c/download.jpg)
FAINALI DARAJA LA KWANZA KUCHEZWA AZAM COMPLEX, CHAMAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-KJHI7u4jbRI/VOhDzRT4EgI/AAAAAAAHE50/dE67VTVNFfQ/s1600/download.jpg)
Mchezo huo wa fainali utaanza saa 10 kamili jioni, na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nlcf-Ka-6ZE/UvthFDYHmCI/AAAAAAACai8/wk1P5viRyF4/s72-c/IMG_4053.jpg)
WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA KWANZA LA KIPEKEE LA KUWAWEZESHA WANAWAKE NA VIJANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nlcf-Ka-6ZE/UvthFDYHmCI/AAAAAAACai8/wk1P5viRyF4/s1600/IMG_4053.jpg)
“Tamasha hili limeandaliwa ili kuwaonesha wanawake na vijana umuhimu wa kuweka akiba, aina tofauti...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Daraja la Kwanza wazidi kuula
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesaini mkataba wa miaka mitatu na Kampuni ya Sahara Media wa haki ya kurusha mechi za Ligi Daraja la Kwanza wenye thamani ya Sh milioni 450 jana.
10 years ago
Mwananchi08 Dec
‘First 11 ya Simba’ Ligi Daraja la Kwanza
11 years ago
Mwananchi04 May
Daraja la kwanza laichosha Toto
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Vurugu Ligi Daraja la Kwanza zikomeshwe
9 years ago
Habarileo02 Jan
Ligi daraja la kwanza yazidi kunoga
LIGI daraja la kwanza inatarajiwa kuendelea tena leo kwa michezo tisa katika viwanja tofauti. Ashanti United itamenyana na Polisi Dodoma kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, mechi inayotarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kutokana na timu hizo kuachana kwa mbali kwenye msimamo kwenye kundi A.
9 years ago
Habarileo01 Jan
Ligi Daraja la Kwanza kuendelea kesho
VINARA wa kundi A kwenye ligi daraja la kwanza, Ashanti United watashuka uwanjani kesho kuikabili Polisi Dodoma kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima08 May
JKT Oljoro yapania daraja la kwanza
TIMU ya JKT Oljoro imepania kukabili ushindani wa ligi Daraja la Kwanza kwa kuanza maandalizi mapema ikiwemo kuingia kambini na kujifua kwa mazoezi magumu ili waweze kurejea Ligi Kuu ya...