Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAINALI DARAJA LA KWANZA KUCHEZWA AZAM COMPLEX, CHAMAZI

Fainali ya kumsaka Bingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (FDL), inatarajiwa kufanyika kesho kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuanzia majira ya saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Awali mchezo huo wa fainali ulikuwa umepangwa kufanyika kesho kwenye dimba la Uwanja wa Taifa, lakini kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TTF imepelekea mchezo huo kuhamishiwa Chamazi.

Mchezo huo wa fainali utaanza saa 10 kamili jioni, na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Azam kudhamini daraja la kwanza



Mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) ambao hukutanisha viongozi wa Klabu za Ligi Kuu ya Soka Bara na Ligi Daraja la Kwanza, uliofanyika Februari 28 mwaka huu, umejadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja kujulishwa taarifa za kupatikana kwa mdhamini wa Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao, ambaye ni Azam Media.

Akizungumza na gazeti hili jana, Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo, Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo pia wajumbe walijadili utendaji wa kazi za kila siku za bodi hiyo na mfumo...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam waivaa Ferraviario ndani Azam Complex

Matajiri wa Chamazi, Azam leo wataweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kucheza mechi ya kimataifa kwenye uwanja wake watakapowakaribisha Ferraviario Da Beira kwenye uwanja wa Azam Complex  katika mchezo wa awali Kombe la Shirikisho CAF.

 

9 years ago

BBCSwahili

Fainali za Olimpiki kuchezwa Maracana

Shirikisho la FIFA limeutangaza uwanja wa Maracana kuwa ndio utakaotumika katika fainali za michezo ijayo ya Olimpiki zitakazofanyika Brazil.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wake Up Filamu ya Kwanza Bongo Kuchezwa na Mastaa Wengi

TASNIA ya filamu imezidi kukua na kusonga mbele kila siku, thamani ya wasanii wanalipwa fedha nyingi kwa kushiriki filamu moja jambo linalomfanya mtayarishaji kutumia wasanii wachache kwa filamu yake lake katika sinema ya WAKE UP imevunja rekodi kuwashirikisha nyota wengi.

Akiongea na waandishi wa Habari mtayarishaji wa filamu hiyo Manaiki Sanga amesema kuwa sinema hiyo ilikuwa na kazi kubwa kwani hata kama mwigizaji angetaka kuigiza bure shughuli ilikuwa kuwahudumia mahitaji yao kwani ni...

 

11 years ago

GPL

AZAM YAIZAMISHA RUVU SHOOTING HUKO CHAMAZI

Kipre Tcheche (Mwenye, jezi nyeupe) akiwatoka mabeki wa Ruvu. Sekeseke katika goli la Ruvu Shooting. Mashabiki wa Azam wakiishangilia timu yao.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani