Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZAM INAWAALIKA KWENYE SHEREHE ZA UBINGWA PALE CHAMAZI COMPLEX KESHO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Yaliyojiri Azam Complex sherehe za ubingwa Ligi Kuu ya Vodacom

DIMBA la Azam Complex, lililoko Chamazi wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, juzi lilikuwa na sura mbili, zote zikibeba taswira ya furaha kwa mashabiki na klabu mwenyeji wa uwanja huo,...

 

10 years ago

Michuzi

FAINALI DARAJA LA KWANZA KUCHEZWA AZAM COMPLEX, CHAMAZI

Fainali ya kumsaka Bingwa wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (FDL), inatarajiwa kufanyika kesho kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuanzia majira ya saa 10 kamili jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Awali mchezo huo wa fainali ulikuwa umepangwa kufanyika kesho kwenye dimba la Uwanja wa Taifa, lakini kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TTF imepelekea mchezo huo kuhamishiwa Chamazi.

Mchezo huo wa fainali utaanza saa 10 kamili jioni, na...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL INAKUKARIBISHA KWENYE SMARTPHONE BAZAAR WIKIENDI HII PALE KIBO COMPLEX TEGETA

Gulio la Airtel Smartphone lililofanyika wiki iliyopita pale Mlimani City wikiendi iliyopita .Baadhi ya Wateja waliofika katika Mlimani City kujipatia Ofa kabambe inayotolewa na Kampuni ya simu ya Airtel na Huawei katika banda la Mlimani City jijini Dar Es Salaam wiki iliyopita. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei. Airtel Bazaar Gulio lililoanza wiki iliyopita pale Mlimani City siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili litaendelea tena wiki...

 

11 years ago

GPL

Azam FC hiyoo kwenye ubingwa

Kikosi cha Azam FC. Na Sweetbert Lukonge
UWEZEKANO wa Azam FC kuandika historia ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza upo karibu, hiyo ni baada ya kufanikiwa kuifunga Simba kwa mabao 2-1 na kuongoza msimamo wa ligi hiyo kwa tofauti ya pointi saba. Azam ambayo haijapoteza mechi yoyote msimu huu, imeonyesha kweli imejipanga baada ya kutoa kipigo hicho kwa Simba ambayo mwaka huu imekuwa ikipepesuka, hivyo...

 

11 years ago

Michuzi

CHADEMA YAENDELEA KUKOMAA YASISITIZA MAANDAMANO YAPO PALE PALE NCHI NZIMA KUANZIA KESHO

 Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Usimamizi wa Kanda wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu maandamano ya chama hicho yatakayoanza kesho nchini kote kupinga Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea Dodoma. Kulia ni Kada wa Chadema, Aron Mashuve na Mwanasheria wa chama hicho, John Malya.
 Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Usimamizi wa Kanda wa Chama cha Demokrasia na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani