Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIRTEL INAKUKARIBISHA KWENYE SMARTPHONE BAZAAR WIKIENDI HII PALE KIBO COMPLEX TEGETA

Gulio la Airtel Smartphone lililofanyika wiki iliyopita pale Mlimani City wikiendi iliyopita .Baadhi ya Wateja waliofika katika Mlimani City kujipatia Ofa kabambe inayotolewa na Kampuni ya simu ya Airtel na Huawei katika banda la Mlimani City jijini Dar Es Salaam wiki iliyopita. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei. Airtel Bazaar Gulio lililoanza wiki iliyopita pale Mlimani City siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili litaendelea tena wiki...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

AIRTEL NA HUAWEI YAANZISHA BAZAAR LA SIMU ZA SMARTPHONE.

Na Mwandishi wetu.

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania ikishiriakiana na Huawei leo imetangaza kuanza Bazaar lake maalum litakalowawezeha watanzaniakujipatia simu za kisasa za Smart phone na kuweza kufurahia huduma zazote za intaneti kupitia mtandao wa Airtel
Bazaar la Airtel na Huawei  limepangwa kufanyika kuanzia ijumaa,jumamosi na jumapili hii kuanzia saa 3asubuhu hadi saa moja usikukatika eneo la ndani la Mlimani City  na litakuwa na muendelezohapohapo na baadae litazunguka...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL SMARTPHONE BAZAAR NDANI YA NANENANE MOROGORO


Baadhi ya wateja wakiwa ndani ya Airtel smartphone Bazaar ilikusmartiphonica na simu za kisasa kwa bei poa.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza offa kabambe yasimu za kisasa itakayopatikana katika viwanja vya nane nane kuanziasiku ya Ijumaa tarehe 31 julai 2015, kwa muda wa siku 10Akiongea kuhusu ofa hiyo Meneja Masoko wa Airtel Bi Aneth Mugaamesema, Airtel inaendelea kuwapati wateja wake mawasiliano bora nakuwaunganisha na simu za kisasa zilizounganishwa na vifurushi vya...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL SMARTPHONE BAZAAR ILIVYOBAMBA MLIMANI CITY JIJINI DAR

Afisa uhusiano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Gulio la Airtel na Huawei Smartphone lililofanyika Mlimani City wikiendi hii. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.Gulio hili lilianza Ijumaa, Jumamosi na Jumapili na litakaloendelea wiki ijayo siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili pale Kibo Complex Tegeta.Baadhi ya Wateja waliofika katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone wakipewa maelezo...

 

9 years ago

Michuzi

Wateja wa Airtel kupata ofa ya simu bomba kupitia SMARTIFONIKA Bazaar

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa mara nyingine imekuja na ofa kabambe kupitia SMARTFONIKA Bazaar na kuwawezesha wateja kupata simu mbalimbali za kisasa katika msimu huu wa sikukuu
Gulio la simu yaani smartphone Bazaar litakuwa katika maeneo ya Mlimani City na Quality Center kuanzia siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Watanzania watapata nafasi ya kuchagua na kununua simu za aina ya smartphone inayokidhi mahitaji yao kwa bei nafuu. Ofa hii pia itapatikana katika maduka ya Airtel ...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND INAKUKARIBISHA THAI VILLAGE IJUMAA HII

Divas wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya viunga vya Thai Village Masaki wakiongozwa na Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 (katikati), Digna Mbepera (kulia) pamoja na Bela Kombo. Aneth Kushaba AK47 sambamba na Bela Kombo wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam.… ...

 

10 years ago

GPL

JIZAWADIE SMARTPHONE KUROKA AIRTEL

Jizawadie na uwazawadie uwapendao smartphone msimu huu wa sikukuu!!! Pata smartphone yenye vifurushi BOMBA kwa bei POA kwenye duka lolote la Airtel.

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band inakukaribisha leo Thai Village kabla ya kuelekea jijini Arusha Jumapili hii

IMG-20150402-WA0076

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 (kulia)

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(katikati) akiimba na wenzake ambao ni Sam Mapenzi(kulia) pamoja na Ashura Kitenge (kushoto)

Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kubwa mbele ya mashabiki wake (hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani