AIRTEL INAKUKARIBISHA KWENYE SMARTPHONE BAZAAR WIKIENDI HII PALE KIBO COMPLEX TEGETA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mmX19zCFAGU/VXgKcdgeBNI/AAAAAAAHeQ4/h9124rb88W8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Gulio la Airtel Smartphone lililofanyika wiki iliyopita pale Mlimani City wikiendi iliyopita .Baadhi ya Wateja waliofika katika Mlimani City kujipatia Ofa kabambe inayotolewa na Kampuni ya simu ya Airtel na Huawei katika banda la Mlimani City jijini Dar Es Salaam wiki iliyopita. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.
Airtel Bazaar Gulio lililoanza wiki iliyopita pale Mlimani City siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili litaendelea tena wiki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eGg9wb39VKE/VXA-Q31D64I/AAAAAAAC5fw/Jf2xnOGkfHE/s72-c/pic%2B2b.jpg)
AIRTEL NA HUAWEI YAANZISHA BAZAAR LA SIMU ZA SMARTPHONE.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania ikishiriakiana na Huawei leo imetangaza kuanza Bazaar lake maalum litakalowawezeha watanzaniakujipatia simu za kisasa za Smart phone na kuweza kufurahia huduma zazote za intaneti kupitia mtandao wa Airtel
Bazaar la Airtel na Huawei limepangwa kufanyika kuanzia ijumaa,jumamosi na jumapili hii kuanzia saa 3asubuhu hadi saa moja usikukatika eneo la ndani la Mlimani City na litakuwa na muendelezohapohapo na baadae litazunguka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nPFkFkLul5U/VbobC_UnhXI/AAAAAAAAtdk/i1TY_rrZe6k/s72-c/IMG-20150703-WA0030.jpg)
AIRTEL SMARTPHONE BAZAAR NDANI YA NANENANE MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nPFkFkLul5U/VbobC_UnhXI/AAAAAAAAtdk/i1TY_rrZe6k/s640/IMG-20150703-WA0030.jpg)
Baadhi ya wateja wakiwa ndani ya Airtel smartphone Bazaar ilikusmartiphonica na simu za kisasa kwa bei poa.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza offa kabambe yasimu za kisasa itakayopatikana katika viwanja vya nane nane kuanziasiku ya Ijumaa tarehe 31 julai 2015, kwa muda wa siku 10Akiongea kuhusu ofa hiyo Meneja Masoko wa Airtel Bi Aneth Mugaamesema, Airtel inaendelea kuwapati wateja wake mawasiliano bora nakuwaunganisha na simu za kisasa zilizounganishwa na vifurushi vya...
10 years ago
MichuziAIRTEL SMARTPHONE BAZAAR ILIVYOBAMBA MLIMANI CITY JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlNHWyGfSYJEuILOEASfp48cLtd4OgI-PRWXUVCEKV-WIR3UYQY5yvGrpZJVHwnxpua*ailCZdU509q5kvSe9sY/10258957_739466392760386_5015759206496137483_n.png?width=650)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZEYGf101mWA/VlA0jv959RI/AAAAAAAIHhA/IRIny-CerzU/s72-c/image.jpeg)
Wateja wa Airtel kupata ofa ya simu bomba kupitia SMARTIFONIKA Bazaar
Gulio la simu yaani smartphone Bazaar litakuwa katika maeneo ya Mlimani City na Quality Center kuanzia siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Watanzania watapata nafasi ya kuchagua na kununua simu za aina ya smartphone inayokidhi mahitaji yao kwa bei nafuu. Ofa hii pia itapatikana katika maduka ya Airtel ...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_00011.jpg)
SKYLIGHT BAND INAKUKARIBISHA THAI VILLAGE IJUMAA HII
10 years ago
GPL20 Dec
JIZAWADIE SMARTPHONE KUROKA AIRTEL
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Skylight Band inakukaribisha leo Thai Village kabla ya kuelekea jijini Arusha Jumapili hii
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 (kulia)
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(katikati) akiimba na wenzake ambao ni Sam Mapenzi(kulia) pamoja na Ashura Kitenge (kushoto)
Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kubwa mbele ya mashabiki wake (hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village,...