AIRTEL NA HUAWEI YAANZISHA BAZAAR LA SIMU ZA SMARTPHONE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-eGg9wb39VKE/VXA-Q31D64I/AAAAAAAC5fw/Jf2xnOGkfHE/s72-c/pic%2B2b.jpg)
Na Mwandishi wetu.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania ikishiriakiana na Huawei leo imetangaza kuanza Bazaar lake maalum litakalowawezeha watanzaniakujipatia simu za kisasa za Smart phone na kuweza kufurahia huduma zazote za intaneti kupitia mtandao wa Airtel
Bazaar la Airtel na Huawei limepangwa kufanyika kuanzia ijumaa,jumamosi na jumapili hii kuanzia saa 3asubuhu hadi saa moja usikukatika eneo la ndani la Mlimani City na litakuwa na muendelezohapohapo na baadae litazunguka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nPFkFkLul5U/VbobC_UnhXI/AAAAAAAAtdk/i1TY_rrZe6k/s72-c/IMG-20150703-WA0030.jpg)
AIRTEL SMARTPHONE BAZAAR NDANI YA NANENANE MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nPFkFkLul5U/VbobC_UnhXI/AAAAAAAAtdk/i1TY_rrZe6k/s640/IMG-20150703-WA0030.jpg)
Baadhi ya wateja wakiwa ndani ya Airtel smartphone Bazaar ilikusmartiphonica na simu za kisasa kwa bei poa.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza offa kabambe yasimu za kisasa itakayopatikana katika viwanja vya nane nane kuanziasiku ya Ijumaa tarehe 31 julai 2015, kwa muda wa siku 10Akiongea kuhusu ofa hiyo Meneja Masoko wa Airtel Bi Aneth Mugaamesema, Airtel inaendelea kuwapati wateja wake mawasiliano bora nakuwaunganisha na simu za kisasa zilizounganishwa na vifurushi vya...
10 years ago
MichuziAIRTEL SMARTPHONE BAZAAR ILIVYOBAMBA MLIMANI CITY JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mmX19zCFAGU/VXgKcdgeBNI/AAAAAAAHeQ4/h9124rb88W8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
AIRTEL INAKUKARIBISHA KWENYE SMARTPHONE BAZAAR WIKIENDI HII PALE KIBO COMPLEX TEGETA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mmX19zCFAGU/VXgKcdgeBNI/AAAAAAAHeQ4/h9124rb88W8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kSLQoXgs3nk/VXgKce2mCGI/AAAAAAAHeQ8/x33ZKBM0aMk/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZEYGf101mWA/VlA0jv959RI/AAAAAAAIHhA/IRIny-CerzU/s72-c/image.jpeg)
Wateja wa Airtel kupata ofa ya simu bomba kupitia SMARTIFONIKA Bazaar
Gulio la simu yaani smartphone Bazaar litakuwa katika maeneo ya Mlimani City na Quality Center kuanzia siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Watanzania watapata nafasi ya kuchagua na kununua simu za aina ya smartphone inayokidhi mahitaji yao kwa bei nafuu. Ofa hii pia itapatikana katika maduka ya Airtel ...
10 years ago
MichuziKAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar
Meneja wa Vifaa vya Huawei, Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.
Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
5 years ago
Gizmochina17 Feb
Fake Samsung and Huawei smartphone models are flooding AliExpress
5 years ago
GSMArena.Com21 Mar
Xiaomi passes Huawei to become third biggest smartphone maker in February - GSMArena.com news