Wateja wa Airtel kupata ofa ya simu bomba kupitia SMARTIFONIKA Bazaar
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZEYGf101mWA/VlA0jv959RI/AAAAAAAIHhA/IRIny-CerzU/s72-c/image.jpeg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa mara nyingine imekuja na ofa kabambe kupitia SMARTFONIKA Bazaar na kuwawezesha wateja kupata simu mbalimbali za kisasa katika msimu huu wa sikukuu
Gulio la simu yaani smartphone Bazaar litakuwa katika maeneo ya Mlimani City na Quality Center kuanzia siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Watanzania watapata nafasi ya kuchagua na kununua simu za aina ya smartphone inayokidhi mahitaji yao kwa bei nafuu. Ofa hii pia itapatikana katika maduka ya Airtel ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmqRcOXFouMY-jLVePqHIj6p3iVIPoBB1EpXfT8K2A5LCZiGNH7f4mVZ-gUcgSqGoz9ecXj0ZtofvwuRQ4cMsl9H/techno1.jpg?width=650)
AIRTEL KUPITIA HUDUMA YA SWITCH ON YAZINDUA OFA KAMBABE YA SIMU NA TECNO H5 MPYA
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Wateja wa Tigo kupata huduma za kibenki kupitia simu zao
Mkuu wa huduma za kifedha wa Tigo, Bwana Andrew Hodgson, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na huduma za kibenki kwa wateja wa Tigo. Kulia ni Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja.
Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.
Kampuni ya Tigo imeingia katika ushirikiano na mabenki makubwa 17 nchini ili kuwapatia wateja wa Tigo pesa uwezo wa kutuma na kupokea pesa kutoka katika akaounti zao za benki kwenda kwenye simu...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ujOmiOtisfc/Vk7i0kNOTQI/AAAAAAAIG9o/Tk3t0lj7noA/s72-c/Pic%2B1.jpg)
Wateja wa Airtel kuangalia vipindi vya television kupitia simu za mkononi
![](http://2.bp.blogspot.com/-ujOmiOtisfc/Vk7i0kNOTQI/AAAAAAAIG9o/Tk3t0lj7noA/s640/Pic%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WFM3wYLt2QA/Vk7i0zHe-FI/AAAAAAAIG9s/f27AQgItR1g/s640/Pic%2B4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--xl99hapjns/VijRTJ5EwJI/AAAAAAAIBsI/dC98ybPgTS0/s72-c/picha%2B1.jpg)
AIRTEL SMARTIFONIKA YALETA SIMU MPYA SOKONI NAFUU KULIKO ZOTE
![](http://1.bp.blogspot.com/--xl99hapjns/VijRTJ5EwJI/AAAAAAAIBsI/dC98ybPgTS0/s640/picha%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ayp70NlUZW4/VijRTFtLKXI/AAAAAAAIBsQ/rTmrpDtDlkE/s640/picha%2B1b.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eGg9wb39VKE/VXA-Q31D64I/AAAAAAAC5fw/Jf2xnOGkfHE/s72-c/pic%2B2b.jpg)
AIRTEL NA HUAWEI YAANZISHA BAZAAR LA SIMU ZA SMARTPHONE.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania ikishiriakiana na Huawei leo imetangaza kuanza Bazaar lake maalum litakalowawezeha watanzaniakujipatia simu za kisasa za Smart phone na kuweza kufurahia huduma zazote za intaneti kupitia mtandao wa Airtel
Bazaar la Airtel na Huawei limepangwa kufanyika kuanzia ijumaa,jumamosi na jumapili hii kuanzia saa 3asubuhu hadi saa moja usikukatika eneo la ndani la Mlimani City na litakuwa na muendelezohapohapo na baadae litazunguka...
11 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA LUKU OFA KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GRl8MekOaxg/U2iP8SLNY0I/AAAAAAAFf0g/kexVVesgQXg/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Airtel Yazindua LUKU OFA kupitia huduma ya Airtel Money
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRl8MekOaxg/U2iP8SLNY0I/AAAAAAAFf0g/kexVVesgQXg/s1600/unnamed+(5).jpg)
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua ofa mpya itakayowawezesha wateja wake kupata LUKU Bonus kila wakati watakaponunua LUKU kupita huduma Airtel Money. ofi hii ni mwendelezo wa dhamira ya Airtel katika kuhakikisha wateja wake wanapata huduma bora nchini.
Akiongea kuhusu ofaa hii Meneja wa kitengo...
10 years ago
StarTV16 Dec
Airtel yazindua ofa maalum kwa wateja.
Na Lilian Mtono
Dar es Salaam
Kampuni ya simu za mkononi ya airtel imezindua ofa maalumu ya simu, inayoenda bega kwa bega na kuwazawadia wateja wake wakati wa msimu huu wa sikukuu za krismas na mwaka mpya.
Ofa hii itajumuisha simu za kisasa kwa bei nafuu pamoja, vifurushi vya muda wa maongezi na internet.
Uzinduzi wa ofa unakuja ukiwa ni sehemu ya mpango wa airtel wa kutoa huduma bora zaidi na kuwawezesha wateja wake kufaidika hasa kwenye kipindi hiki cha sikukuu.
Chini ya...