AIRTEL SMARTPHONE BAZAAR ILIVYOBAMBA MLIMANI CITY JIJINI DAR
Afisa uhusiano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Gulio la Airtel na Huawei Smartphone lililofanyika Mlimani City wikiendi hii. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.Gulio hili lilianza Ijumaa, Jumamosi na Jumapili na litakaloendelea wiki ijayo siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili pale Kibo Complex Tegeta.
Baadhi ya Wateja waliofika katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone wakipewa maelezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eGg9wb39VKE/VXA-Q31D64I/AAAAAAAC5fw/Jf2xnOGkfHE/s72-c/pic%2B2b.jpg)
AIRTEL NA HUAWEI YAANZISHA BAZAAR LA SIMU ZA SMARTPHONE.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania ikishiriakiana na Huawei leo imetangaza kuanza Bazaar lake maalum litakalowawezeha watanzaniakujipatia simu za kisasa za Smart phone na kuweza kufurahia huduma zazote za intaneti kupitia mtandao wa Airtel
Bazaar la Airtel na Huawei limepangwa kufanyika kuanzia ijumaa,jumamosi na jumapili hii kuanzia saa 3asubuhu hadi saa moja usikukatika eneo la ndani la Mlimani City na litakuwa na muendelezohapohapo na baadae litazunguka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nPFkFkLul5U/VbobC_UnhXI/AAAAAAAAtdk/i1TY_rrZe6k/s72-c/IMG-20150703-WA0030.jpg)
AIRTEL SMARTPHONE BAZAAR NDANI YA NANENANE MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nPFkFkLul5U/VbobC_UnhXI/AAAAAAAAtdk/i1TY_rrZe6k/s640/IMG-20150703-WA0030.jpg)
Baadhi ya wateja wakiwa ndani ya Airtel smartphone Bazaar ilikusmartiphonica na simu za kisasa kwa bei poa.
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza offa kabambe yasimu za kisasa itakayopatikana katika viwanja vya nane nane kuanziasiku ya Ijumaa tarehe 31 julai 2015, kwa muda wa siku 10Akiongea kuhusu ofa hiyo Meneja Masoko wa Airtel Bi Aneth Mugaamesema, Airtel inaendelea kuwapati wateja wake mawasiliano bora nakuwaunganisha na simu za kisasa zilizounganishwa na vifurushi vya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mmX19zCFAGU/VXgKcdgeBNI/AAAAAAAHeQ4/h9124rb88W8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
AIRTEL INAKUKARIBISHA KWENYE SMARTPHONE BAZAAR WIKIENDI HII PALE KIBO COMPLEX TEGETA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mmX19zCFAGU/VXgKcdgeBNI/AAAAAAAHeQ4/h9124rb88W8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kSLQoXgs3nk/VXgKce2mCGI/AAAAAAAHeQ8/x33ZKBM0aMk/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s72-c/unnamed.jpg)
ONESHO LA S!TE KUFUNGULIWA KESHO JUMATANO MLIMANI CITY,JIJINI DAR
Tayari maandalizi yote kuelekea ufunguzi wa onesho hilo yamekamilika na kwamba watanzania wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuja kujionea vivutio adhimu wa taifa hili.
Shirika la Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) pamoja na...
10 years ago
MichuziSIKU YA MSANII KUFANYIKA OKTOBA 25 MLIMANI CITY JIJINI DAR
11 years ago
GPLMAFIKIZORO WAFUNIKA MLIMANI CITY JIJINI DAR USIKU HUU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s72-c/unnamed.jpg)
ONESHO LA SITE KUFUNGULIWA KESHO JUMATANO MLIMANI CITY,JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-zeHzHlZO4c4/VCqGroZZ1GI/AAAAAAAGmsc/EjPXATj1MnQ/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7tGobqDGUtA/VCqIQ1pRQjI/AAAAAAAGmsk/vrbUFzC18Is/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tWRkoMq_0Go/VCqGoVynvPI/AAAAAAAGmsU/L62MPY15gto/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB),Devota Mdachi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu onyesho hilo la kimataifa la utalii ‘Swahili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOb3n813b-PN*PVKr6dYRIkvZwd7Fd7TsuOaOvhQVMzH8R8Sd6RD2UG5ew2bW5ngX3jj-nnv8-L*-O02aRIhXt4r/KTMA38.jpg?width=650)
A-Z YA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 MLIMANI CITY JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Siku ya msanii kufanyika Jumamosi ijayo Mlimani City Jijini Dar
Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii Tanzania (SYM), Bw. Peter Mwendapole akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Siku ya Msanii Tanzania itakayofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City siku ya tarehe 25 Oktoba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
KAMATI ya Siku ya Msanii Tanzania (SYM) imetangaza rasmi majina ya wasanii watakaotumbuiza katika maadhimisho ya siku hiyo itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City uliopo jijini Dar Es Salaam.
Akizingumza na...