Yaliyojiri Azam Complex sherehe za ubingwa Ligi Kuu ya Vodacom
DIMBA la Azam Complex, lililoko Chamazi wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, juzi lilikuwa na sura mbili, zote zikibeba taswira ya furaha kwa mashabiki na klabu mwenyeji wa uwanja huo,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pEVEX7lZlR0/U1l0HvCgZEI/AAAAAAAFct8/tqdQPz-e1wg/s72-c/unnamed.jpg)
AZAM FC KULAMBA MILIONI 75 KWA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-pEVEX7lZlR0/U1l0HvCgZEI/AAAAAAAFct8/tqdQPz-e1wg/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlNHWyGfSYJEuILOEASfp48cLtd4OgI-PRWXUVCEKV-WIR3UYQY5yvGrpZJVHwnxpua*ailCZdU509q5kvSe9sY/10258957_739466392760386_5015759206496137483_n.png?width=650)
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Azam wamestahili ubingwa Ligi Kuu
TIMU ya soka ya Azam, imetawazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2013/14, baada ya kufikisha pointi 62 katika mechi 26 walizocheza katika ligi hiyo iliyoanza Agosti...
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara
TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcKNL29GCgeuMyN*HeEEQ2qAwEgY65MA0zq103XPb7Hw5aMTAjS7R0*EhmMamgaFxVsE0rIAShIg5EQrygI-6VUX/_MG_0076.jpg?width=650)
VODACOM YAWAPA TANO AZAM KWA KUTWAA UBINGWA VPL
10 years ago
StarTV04 May
Chelsea yatwaa ubingwa Ligi Kuu England
imu ya Chelsea imeibuka mabingwa wa ligi kuu ya England, baada ya kuifunga Crystal Palace bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Stamford Bridge. Bao la Chelsea lilifungwa katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza cha mchezo, likifungwa Eden Hazard.
Chelsea ilihitaji pointi tatu kutangazwa mabingwa wa ligi kuu ya England. Chelsea imetwaa ubingwa huo ikiwa bado na michezo mitatu, ikiwa imejikusanyia pointi 83 ikifuatiwa na mabingwa wa msimu uliopita Manchester City yenye pointi...
10 years ago
GPLYANGA SC WALIVYOKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU BARA