Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam wamestahili ubingwa Ligi Kuu

TIMU ya soka ya Azam, imetawazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2013/14, baada ya kufikisha pointi 62 katika mechi 26 walizocheza katika ligi hiyo iliyoanza Agosti...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara

TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yaliyojiri Azam Complex sherehe za ubingwa Ligi Kuu ya Vodacom

DIMBA la Azam Complex, lililoko Chamazi wilayani Temeke jijini Dar es Salaam, juzi lilikuwa na sura mbili, zote zikibeba taswira ya furaha kwa mashabiki na klabu mwenyeji wa uwanja huo,...

 

11 years ago

Michuzi

AZAM FC KULAMBA MILIONI 75 KWA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM

Meneja uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Salum Mwalim, akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa kutangaza zawadi za washindi wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, ambapo Azam FC ambaye ndie bingwa atanyakua Milioni 75. Pamoja nae katika picha, wa kwanza kutoka kulia kwake  niAfisa Habari wa TFF, Boniface Wambura  na Afisa Matukio na Udhamini wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude. Mdhamini Mkuu wa Ligi kuu Vodacom Tanzania Bara kampuni ya Mawasiliano  ya Vodacom...

 

10 years ago

StarTV

Chelsea yatwaa ubingwa Ligi Kuu England

imu ya Chelsea imeibuka mabingwa wa ligi kuu ya England, baada ya kuifunga Crystal Palace bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Stamford Bridge. Bao la Chelsea lilifungwa katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza cha mchezo, likifungwa Eden Hazard.

Chelsea ilihitaji pointi tatu kutangazwa mabingwa wa ligi kuu ya England. Chelsea imetwaa ubingwa huo ikiwa bado na michezo mitatu, ikiwa imejikusanyia pointi 83 ikifuatiwa na mabingwa wa msimu uliopita Manchester City yenye pointi...

 

10 years ago

GPL

YANGA SC WALIVYOKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU BARA

Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014 - 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam jana. Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akimkabidhi cheti cha salamu za pongezi za ubingwa kutoka Fifa, Mwenyekiti wa timu hiyo… ...

 

9 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND: Ukuta Arsenal na safari ndefu ya ubingwa

Wiki moja tangu kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu England 2015/16, tayari mashabiki wa klabu ya Arsenal wameanza kuingiwa hofu

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Manchester City ni vita ya ubingwa Ligi Kuu England

Chelsea ina nafasi ya pekee ya kufikisha pointi nane dhidi ya Manchester City leo katika mchezo mgumu wa Ligi Kuu England.

 

11 years ago

GPL

Azam bingwa Ligi Kuu Bara

Mshambuliaji wa Azam Fc, Gaudence Mwaikimba akishangilia bao huku akifuatwa na mwenzake, Kipre Tchetche(kulia), nyuma yao ni mwenzao, Himid Mao katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, jana. Azam bingwa ligi kuu Na Martha Mboma, Mbeya
ILIKUWA kama vita lakini hatimaye mechi imefanyika, matokeo yamepatikana na rekodi imewekwa kwenye… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani