Chelsea yatwaa ubingwa Ligi Kuu England
imu ya Chelsea imeibuka mabingwa wa ligi kuu ya England, baada ya kuifunga Crystal Palace bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Stamford Bridge. Bao la Chelsea lilifungwa katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza cha mchezo, likifungwa Eden Hazard.
Chelsea ilihitaji pointi tatu kutangazwa mabingwa wa ligi kuu ya England. Chelsea imetwaa ubingwa huo ikiwa bado na michezo mitatu, ikiwa imejikusanyia pointi 83 ikifuatiwa na mabingwa wa msimu uliopita Manchester City yenye pointi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Chelsea, Manchester City ni vita ya ubingwa Ligi Kuu England
9 years ago
Mwananchi17 Aug
LIGI KUU ENGLAND: Ukuta Arsenal na safari ndefu ya ubingwa
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Chelsea haishikiki Ligi Kuu England
10 years ago
BBCSwahili04 May
Chelsea mabingwa wapya Ligi Kuu England
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLEQ8ZcLo6DBQcyMa8MOBLkE*jVO5dT9ulztAkfurPdp9WcRn1QdMfpFmWgf0Xuc6LGwmAVZdsQQ9t8xnQDbQLK/1.jpg?width=650)
CHELSEA WAKABIDHIWA KOMBE LAO LA LIGI KUU YA ENGLAND
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Chelsea, Manchester City zang’ara Ligi Kuu England
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Ligi kuu England kuendelea
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/LPjPRqUJvhI/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Azam wamestahili ubingwa Ligi Kuu
TIMU ya soka ya Azam, imetawazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2013/14, baada ya kufikisha pointi 62 katika mechi 26 walizocheza katika ligi hiyo iliyoanza Agosti...