CHADEMA YAENDELEA KUKOMAA YASISITIZA MAANDAMANO YAPO PALE PALE NCHI NZIMA KUANZIA KESHO
Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Usimamizi wa Kanda wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Benson Kigaila (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu maandamano ya chama hicho yatakayoanza kesho nchini kote kupinga Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea Dodoma. Kulia ni Kada wa Chadema, Aron Mashuve na Mwanasheria wa chama hicho, John Malya.
Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Usimamizi wa Kanda wa Chama cha Demokrasia na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHADEMA YAENDELEA KUKOMAA YASISITIZA MAANDAMANO YAPO PALE PALE NCHI NZIMA
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Lowassa kufanya ziara nchi nzima kuanzia kesho
![LOWASSA_0.jpg](http://cdn2.yatosha.com/wp-content/uploads/2015/09/LOWASSA_0.jpg)
11 years ago
Michuzi19 Feb
9 years ago
Bongo517 Oct
Nay wa Mitego: Mpango wa kufanya filamu na Diamond upo pale pale
10 years ago
Bongo526 Apr
Ray C: Nimenenepa lakini kiuno bila mfupa kiko pale pale!
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
SHAMBULIZI LA PARIS: Mashindano ya EURO 2016 pale pale! -Waratibu
Jiji la Paris nchini Ufaransa linavyoonekana ambapo baadhi ya vwanja vyake kadhaa vinatarajiwa kutimua vumbi hapo baadae katika michuano ya soka ya Ulaya maarufu kama EURO 2016.
Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari.
Mratibu wa Mashindano ya Euro kwa mwaka 2016, Jacques Lambert yanayotarajiwa kufanyika Ufaransa amesema kutokea kwa shambulio la Paris hakuwezi kuwa sababu ya kusimamisha mashindano ya Euro 2016.
Akizungumza na kituo cha redio cha Ufaransa cha RTL, Lambert...
11 years ago
Michuzi10 Mar
10 years ago
Bongo Movies01 Jul
Aunty Ezekiel: Nimezaa na Mose Iyobo Lakini Ndoa Yangu Ipo Pale Pale
Muigizaji wa filamu, Aunty Ezekiel ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike, amedai kuwa licha ya kuzaa nje ya ndoa, bado anaamini ndoa yake ipo pale pale.
Akizungumza na Bongo5 leo, Aunty aka Mama Cookie, amesema aliamua kuzaa na Moses Iyobo, dancer wa Diamond Platnumz kwakuwa muda wa kuwa mama ulikuwa umefika.
“Mimi niliamua kupata mtoto baada ya kuona wakati umefika,” amesema.
“Kwasababu siku zinaenda pamoja na umri inabidi maisha yaendelee mbele. Ndoa yangu ipo kama ilivyokuwa...