Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 na kesho atakuwa Tanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Lowassa kufanya ziara nchi nzima kuanzia kesho
![LOWASSA_0.jpg](http://cdn2.yatosha.com/wp-content/uploads/2015/09/LOWASSA_0.jpg)
11 years ago
GPL27 Jul
MASHUJAA BAND KUZUNGUKA NCHI NZIMA
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Mbunge aapa kuzunguka nchi nzima
10 years ago
MichuziCHADEMA YAENDELEA KUKOMAA YASISITIZA MAANDAMANO YAPO PALE PALE NCHI NZIMA KUANZIA KESHO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q49vYJiiHlA/XsUA46vYQBI/AAAAAAAAJkg/WQJcW21woWQ6Ey1El4Dh1_b9o72wfbJAwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200520_115602_451.jpg)
TLP WAJIPANGA KUZUNGUKA NCHI NZIMA, KUHAMASISHA KUJENGA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q49vYJiiHlA/XsUA46vYQBI/AAAAAAAAJkg/WQJcW21woWQ6Ey1El4Dh1_b9o72wfbJAwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115602_451.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--qh9SR2JT-8/XsUBU2LjmQI/AAAAAAAAJlE/Qup0KPU2DAIr6f-kDsisgGJa7ormdbsxgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115347_870.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tuvX8KX_Xmo/XsUBVeqgCZI/AAAAAAAAJlM/tXMxfiJlH3897xhHVv98873dpRYTitJWwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115355_508.jpg)
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Lowassa kuzungumza na wanawake nchi nzima
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri wa zamani, Edward Lowassa, leo anatarajiwa kuzungumza na wanawake wa makundi mbalimbali nchini katika kongamano lililoandaliwa na Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha).
Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee, aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuwa Lowassa atazungumza na wanawake hao kupitia televisheni mbalimbali zitakazorusha tukio hilo moja kwa moja.
Alisema katika mkutano huo mgombea...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
9 years ago
Habarileo23 Dec
Bomoabomoa nchi nzima
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.