MASHUJAA BAND KUZUNGUKA NCHI NZIMA
Bendi ya Mashujaa inatarajia kuzunguka nchi nzima ikitoa burudani ya kutosha kwa mashabiki wake kuanzia Sikukuu ya Idd Mosi. Ziara hiyo ni zawadi kwa mashabiki wa bendi hiyo nchini Tanzania.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Mbunge aapa kuzunguka nchi nzima
Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini ameapa kuzunguka nchi nzima kuwahamasisha Watanzania kudai kufufuliwa kwa Taifa la Tanganyika na kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 na kesho atakuwa Tanga.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q49vYJiiHlA/XsUA46vYQBI/AAAAAAAAJkg/WQJcW21woWQ6Ey1El4Dh1_b9o72wfbJAwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200520_115602_451.jpg)
TLP WAJIPANGA KUZUNGUKA NCHI NZIMA, KUHAMASISHA KUJENGA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q49vYJiiHlA/XsUA46vYQBI/AAAAAAAAJkg/WQJcW21woWQ6Ey1El4Dh1_b9o72wfbJAwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115602_451.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--qh9SR2JT-8/XsUBU2LjmQI/AAAAAAAAJlE/Qup0KPU2DAIr6f-kDsisgGJa7ormdbsxgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115347_870.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tuvX8KX_Xmo/XsUBVeqgCZI/AAAAAAAAJlM/tXMxfiJlH3897xhHVv98873dpRYTitJWwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115355_508.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cMo845SLBX1475-wPlxSFaRn1dzsydvxwY9SgDwx0L7OTzXa2mDMM0DXLQGPmUETJq323Zdhv9C55wn5E1oHSy4D9lDsSJbj/MBEYA.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r4skCP3Hu1w/VRAv3wwTnJI/AAAAAAAHMfk/igAjEBrcVlo/s72-c/unnamed.jpg)
Rogert Hegga 'Katapila' ajiunga na Mashujaa Band 'Wana Kibega'
![](http://2.bp.blogspot.com/-r4skCP3Hu1w/VRAv3wwTnJI/AAAAAAAHMfk/igAjEBrcVlo/s1600/unnamed.jpg)
Mkurugenzi wa bendi ya Mashujaa, Maximilian Luhanga, alisema kuwa Hegga amejiunga rasmi na bendi hiyo na watamtambulisha katika onyesho maalumu litakalofanyika Aprili 5.
Luhanga alisema kwamba kujiunga kwa msanii huyo ni moja ya mikakati ya kuiimarisha Mashujaa ili iweze kuwa bendi bora hapa...
11 years ago
GPL10 years ago
VijimamboBILEKU MPASI KUTOKA CONGO (DRC) NA MASHUJAA BAND KUFANYA ONESHO LA PAMOJA DISEMBA 12
10 years ago
GPLMWANAMUZIKI BILEKU, MASHUJAA BAND KUFANYA ONESHO LA PAMOJA DISEMBA 12-2014 UKUMBI WA ASCAPE 1 MIKOCHENI JIJINI DAR
Rais wa Band ya Mashujaa, Chalz  Baba.Â
 Rais wa Band ya Mashujaa, Chalz  Baba (kushoto), akitoa burudani mbele ya wanahabari Dar es Salaam leo, kuhusu onesho hilo litakalofanyika katika ukumbi huo.. Kutoka kulia ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Mabibo, Joseph Emanuel na…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania