BILEKU MPASI KUTOKA CONGO (DRC) NA MASHUJAA BAND KUFANYA ONESHO LA PAMOJA DISEMBA 12
Rais wa Band ya Mashujaa, Chalz Baba (kushoto), akitoa burudani mbele ya wanahabari Dar es Salaam leo, kuhusu onesho hilo litakalofanyika katika ukumbi huo.. Kutoka kulia ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Mabibo, Joseph Emanuel na Ofisa Uhusiano wa Band ya Mashujaa, King Dodo la Buche.
Ofisa Uhusiano wa Band ya Mashujaa, King Dodo la Buche (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu onesho hilo. Kulia ni Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia ya Mabibo, Joseph Emanuel na Rais wa Band ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWANAMUZIKI BILEKU, MASHUJAA BAND KUFANYA ONESHO LA PAMOJA DISEMBA 12-2014 UKUMBI WA ASCAPE 1 MIKOCHENI JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga-m98g2ICc/VHczDAL_CtI/AAAAAAAGzw4/0mWhAYEBlMM/s72-c/unnamed.jpg)
Mashujaa jukwaa moja na Bileku Mpasi
MWANAMUZIKI mkongwe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Bileku Mpasi, atafanya onesho maalum katika utambulisho wa nyimbo mbili mpya za bendi ya Mashujaa utakaofanyika Desemba 12 mwaka huu kwenye ukumbi wa Ten Lounge zamani Business Park.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam mratibu wa onesho hilo, King Dodoo la Buche, alisema kuwa Mpasi ambaye alitamba katika tasnia ya muziki wa dansi alipokuwa na gwiji, marehemu, Pepe Kale, atakuja na wasanii...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0RVXSkzQXl7OlCuTsr51923BtO7RKLV4B1zxXrOZXNDIAPWJc-XGxKQ8u1YPqFhrzDVi7tu2BFwZzW21EtYHXy/mamawemacopy.jpg1.jpg?width=650)
MJAMZITO ATIBUA ONESHO LA YAMOTO BAND
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
11 years ago
GPL27 Jul
MASHUJAA BAND KUZUNGUKA NCHI NZIMA
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Baby J anogesha onesho la Yamoto Band Dar Live
Baby J akiwapagawisha mashabiki.
….akiwaimbisha mashabiki.
Mabaunsa wakijaribu kuwatuliza vijana waliotaka kumvaa Baby J.
Baby Jay akiimba sambamba na Maromboso wa Yamoto Band.
Baada ya Baby Jay mwanamuziki aliyeibukia kupitia shindano la BSS, Juma Kayumba naye alivamia jukwaa na kuwapagawisha kwa ‘live band’ ambapo aligeuka koffi Olomide kwa muda na kupiga kibao cha Selfie ‘Ikotite’.
Muimbaji wa Taarabu, Zena Mohammed akiimba sambamba na Yamoto Band kibao alichoshirikiana na bendi hiyo ambacho...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cMo845SLBX1475-wPlxSFaRn1dzsydvxwY9SgDwx0L7OTzXa2mDMM0DXLQGPmUETJq323Zdhv9C55wn5E1oHSy4D9lDsSJbj/MBEYA.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r4skCP3Hu1w/VRAv3wwTnJI/AAAAAAAHMfk/igAjEBrcVlo/s72-c/unnamed.jpg)
Rogert Hegga 'Katapila' ajiunga na Mashujaa Band 'Wana Kibega'
![](http://2.bp.blogspot.com/-r4skCP3Hu1w/VRAv3wwTnJI/AAAAAAAHMfk/igAjEBrcVlo/s1600/unnamed.jpg)
Mkurugenzi wa bendi ya Mashujaa, Maximilian Luhanga, alisema kuwa Hegga amejiunga rasmi na bendi hiyo na watamtambulisha katika onyesho maalumu litakalofanyika Aprili 5.
Luhanga alisema kwamba kujiunga kwa msanii huyo ni moja ya mikakati ya kuiimarisha Mashujaa ili iweze kuwa bendi bora hapa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K-uMzUopPTk/U33BK18OgaI/AAAAAAAFkbw/2cae0lL5_Ok/s72-c/unnamed.jpg)
Mashujaa bendi kufanya ziara mikoani
![](http://3.bp.blogspot.com/-K-uMzUopPTk/U33BK18OgaI/AAAAAAAFkbw/2cae0lL5_Ok/s1600/unnamed.jpg)
BENDI ya muziki wa dansi nchini Mashujaa, inatarajia kufanya ziara katika mikoa ya nchini nzima kwa ajili ya kutoa shukrani kwa mashabiki wao waliowapigia kura kwenye tuzo za Kilimanjaro Music Awards.
Akizungumza Dar es Salaam...