Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TLP WAJIPANGA KUZUNGUKA NCHI NZIMA, KUHAMASISHA KUJENGA CHAMA

Katibu Itikadi na Uenezi wa TLP Geofrey Stephen akizungumza na vyombo vya habari mkoani hapa akielezea mikakati ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais Wabunge na madiwani mwezi wa Oktoba picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha. Waandishi wa habari wakifuatilia wakati Karibu wa Itikadi na Uenezi TLP taifa akiongea nao leo jijini Arusha. Katibu wa TLP mkoa wa Arusha Kinanzaro Mwanga akiwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi taifa wa TLP Geofrey Stephen wakiongea na vyombo vya habari kuelezea...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASHUJAA BAND KUZUNGUKA NCHI NZIMA

Bendi ya Mashujaa inatarajia kuzunguka nchi nzima ikitoa burudani ya kutosha kwa mashabiki wake kuanzia Sikukuu ya Idd Mosi. Ziara hiyo ni zawadi kwa mashabiki wa bendi hiyo nchini Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge aapa kuzunguka nchi nzima

Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini ameapa kuzunguka nchi nzima kuwahamasisha Watanzania kudai kufufuliwa kwa Taifa la Tanganyika na kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kuzunguka nchi nzima kuanzia kesho

Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 na kesho atakuwa Tanga.

 

10 years ago

Dewji Blog

NIT kujenga vituo vya ukaguzi nchi nzima

DSCN9415

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene  akiwa kwenye mtambo maalum ‘Driving Simulator’ wa kufundishia madereva wa chuo cha Usafirishaji NIT (aliyekaa ), kushoto kwake anayetoa maelezo ni Mtahini wa madereva wa NIT, William Venge, anayefuatia, ni Mwenyekiti wa chuo hicho, Mhandisi, Priscila Chipweli, hiyo ilikuwa wakati Naibu huyo alipotembelea katika sherehe za miaka 40 ya kuanzishwa kwa chuo hicho. (Picha na Mpiga Picha wetu).

Na Mwandishi wetu

SERIKALI  ipo mbioni kuanzisha...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yaahidi kujenga vituo vya soka 169 nchi nzima

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), lipo mbioni kujenga vituo 169 vya michezo katika wilaya 169 za Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.

Chama cha wafanyakazi madereva Tanzania-TADWU- kimetangaza mgomo wa madereva nchi nzima kuanzia Agosti tisa mwaka huu baada ya wamiliki wa mabasi, wakala wa usafiri wa nchi kavu na majini pamoja na wizara ya kazi kushindwa kutekeleza makubaliano yalifikiwa na tume iliyoundwa na waziri mkuu kutatua mgogoro wa madereva nchni.Kauli hiyo imetolewa na naibu katibu mkuu wa TADWU, Bwana Rashidi Salehe wakati akizungumza na ITV ambapo amesema mgomo huo unarejea tena baada ya wamiliki wa mabasi kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika  kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Macmillan Lyimo: TLP ndiyo chama sahihi kwa Watanzania

Macmillan Lyimo amejitokeza kuwa miongoni mwa Watanzania wanasiasa wanaowania urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25.

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA TLP KIMEMPENDEKEZA MREMA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO

Mh.Augustine Mrema Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), imempendekeza Augustine Mrema ambae pia ni mwenyekiti wa chama hicho kutetea kiti chake cha ubunge katika jimbo la Vunjo. Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho Nancy Mrikaria, akiongea jana na gazeti la mwananchi alisema kuwa kamati hiyo pia imemthibitisha Mrema kuendelea na nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Alisema kamati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani