TFF yaahidi kujenga vituo vya soka 169 nchi nzima
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), lipo mbioni kujenga vituo 169 vya michezo katika wilaya 169 za Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
NIT kujenga vituo vya ukaguzi nchi nzima
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene akiwa kwenye mtambo maalum ‘Driving Simulator’ wa kufundishia madereva wa chuo cha Usafirishaji NIT (aliyekaa ), kushoto kwake anayetoa maelezo ni Mtahini wa madereva wa NIT, William Venge, anayefuatia, ni Mwenyekiti wa chuo hicho, Mhandisi, Priscila Chipweli, hiyo ilikuwa wakati Naibu huyo alipotembelea katika sherehe za miaka 40 ya kuanzishwa kwa chuo hicho. (Picha na Mpiga Picha wetu).
Na Mwandishi wetu
SERIKALI ipo mbioni kuanzisha...
5 years ago
Michuzi
TLP WAJIPANGA KUZUNGUKA NCHI NZIMA, KUHAMASISHA KUJENGA CHAMA



11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Lina sasa akamia soka wanawake nchi nzima
CHAMA cha Soka ya Wanawake Tanzania (TWFA), kimesema kitahakikisha mikoa yote nchini inacheza ligi kama ilivyo kwa upande wa wanaume. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa chama hicho,...
11 years ago
Mtanzania12 Sep
Wananchi watakiwa kujenga vituo vya polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, amewataka wananchi kuchangia ujenzi wa vituo vya polisi ili kusaidiana na Serikali katika kukabiliana na tatizo la uhalifu nchini.
IGP Mangu alitoa rai hiyo jana mkoani Kilimanjaro, wakati wa uzinduzi wa jengo la Kituo cha Polisi cha Majengo pamoja na jengo la Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi Mjini, vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi na wadau...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Vitabu vya maombolezo vyatawanywa nchi nzima
11 years ago
Michuzi.jpg)
TMA KUJENGA VITUO VYA HALI YA HEWA KWENYE MAZIWA YA VICTORIA,TANGANYIKA NA NYASA
.jpg)
.jpg)
Mamlaka ya Hali ya hewa Tanzania (TMA) imedhamiria kufungua Ofisi za Kutolea huduma za hali ya Hewa ili kupunguza ajali katika maziwa hapa...
5 years ago
Michuzi
TFF YAUNDA KAMATI MPYA YA KUSIMAMIA MIRADI UJENZI VITUO VYA MICHEZO KIGAMBONI NA TANGA

Kabla ya kuunda Kamati hiyo, Kamati ya Utendaji ilipokea taarifa ya maandalizi ya utekelezaji wa miradi hiyo kwenye kikao chake kilichofanyika Februari 18, 2020 jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati hiyo ni QS Lucy Mzengi (Mwenyekiti), Mhandisi Hersi Said, Mhandisi Hamad Ramadhan,...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
11 years ago
Michuzi19 Apr