TFF YAUNDA KAMATI MPYA YA KUSIMAMIA MIRADI UJENZI VITUO VYA MICHEZO KIGAMBONI NA TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dNrwMj2cLWc/Xk4OOTYxnlI/AAAAAAALeZg/p_AzkXLoTPcHcQ3RKwSDyI-FaIkfuaaogCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeunda Kamati ya Maendeleo ya Miradi ili kusimamia utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa vituo vya michezo vya Kigamboni, Dar es Salaam na Tanga.
Kabla ya kuunda Kamati hiyo, Kamati ya Utendaji ilipokea taarifa ya maandalizi ya utekelezaji wa miradi hiyo kwenye kikao chake kilichofanyika Februari 18, 2020 jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati hiyo ni QS Lucy Mzengi (Mwenyekiti), Mhandisi Hersi Said, Mhandisi Hamad Ramadhan,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zyoP8QCjzTs/XoiciBjkM3I/AAAAAAALmBU/V_hLiEGWtQMYv-hDQ4Y_2hnG3QM4s4JOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200403-WA0015-768x576.jpg)
UKUNI YAUNDA KAMATI KUSIMAMIA CHANGAMOTO YA UBOVU WA BARABARA
WAKAZI wa Kitongoji cha Ukuni Kata ya Dunda ,wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, wameunda Kamati Maalumu itayosimamia ukarabati wa miundombinu ya Barabara ambayo imekuwa kero kwa wananchi .
Wakiwa katika kikao cha uundwaji wa Kamati hiyo, wajumbe wamejadiliana kwa kina kuhusiana na mchakato huo, unaolenga kuondokana na hali tete ya ubovu wa miundombinu hiyo iliyopo kwenye Kitongoji hicho, ambapo Kamati hiyo inatarajia kuanza kazi mara moja.
Mwenyekiti wa Kitongoji...
9 years ago
Michuzi15 Oct
TFF YAUNDA KAMATI YA TAIFA STARS
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/VDWXDz51q26oe_9JNibFJZXIod4Vn1gVggGo3yWDMM_pJDRgmYtxnollbmcZR9xQ4D9nR3OezpqXClM8jw=s0-d-e1-ft#http://tff.or.tz/images/malinziArst.png)
Katika kuimarisha maandalizi ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) kuelekea katika mashindano mbalimbali ikiwemo mechi mbili za ugenini na nyumbani dhidi ya Algeria, Rais wa TFF Jamal Malinzi ameunda kamati maalum itakayoitwa “Kamati ya Taifa Stars” ambayo majukumu yake yatakua:(i) Kuimarisha huduma kwa wachezaji,(ii) Uhamasishaji na Masoko,(iii) Kuhamasisha wachezaji,(iv) Kuandaa na kusimamia mkakati wa Ushindi.
Kamati hii itaongozwa na Mwenyekiti Farough Baghouzah, Teddy Mapunda (Katibu), Wajumbe...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nFHVtrUNAOw/VaZeS3OJnXI/AAAAAAAHp5I/dK3zUDeH4OY/s72-c/tff-logo-230x130.jpg)
TFF YAUNDA KAMATI YA USHAURI YA LIGI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nFHVtrUNAOw/VaZeS3OJnXI/AAAAAAAHp5I/dK3zUDeH4OY/s1600/tff-logo-230x130.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati hiyo ni Alhaj Ahmed Mgoyi na katibu wa Kamati ni mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi nchini (TPLB) na wajumbe wengine saba.
1. Alhaji Ahmed Idd Mgoyi (Mwenyekiti)2. Boniface Wambura (Katibu)3. Kennedy Mwaisabula- Mjumbe4. Idd Mshangama- Mjumbe5. Amiri Mhando- Mjumbe6. Grace Hoka- Mjumbe7. Ibrahim Kaude (Vodacom)- Mjumbe8. Baruan Muhuza...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iG8ZUJFuszM/U3UURrt4_2I/AAAAAAAChGc/jvhfZkJNrvg/s72-c/6.jpg)
madaktari walalamikia kutokamilika kwa miradi ya ujenzi vituo vya afya kwa wakati,wakulima wa tumbaku waangusha kilio chao mbele ya Kinana wilayani sikonge
![](http://2.bp.blogspot.com/-iG8ZUJFuszM/U3UURrt4_2I/AAAAAAAChGc/jvhfZkJNrvg/s1600/6.jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Askari Handeni watishia kugoma kusimamia vituo vya kupigia kura
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MIynK5lAjbk/VMitlyfJbQI/AAAAAAAAUWw/A8LZao1f42Q/s72-c/Maswali%2B40%2BCover%2BPhoto.jpg)
January Makamba na ndoto ya vituo vya Michezo vya Kanda
![](http://1.bp.blogspot.com/-MIynK5lAjbk/VMitlyfJbQI/AAAAAAAAUWw/A8LZao1f42Q/s1600/Maswali%2B40%2BCover%2BPhoto.jpg)
Azma hizo zimo katika katika mazungumzo yake na Padre Privatus Karugendo ambayo yamechapishwa katika kitabu ambacho gazeti hili imekipata nakala yake ambapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Tke-n3YaxY4/XsFoD7mO1kI/AAAAAAAAJeQ/P4XbinY6n3kndLFFJsj3IUNltlPmDGmtgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200516_112154_576.jpg)
RC.GAMBO MALIZENI MIRADI YA MAJI NDANI YA MKATABA SANJARI NA KUFUNGA VIFAA VYA VITUO VYA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tke-n3YaxY4/XsFoD7mO1kI/AAAAAAAAJeQ/P4XbinY6n3kndLFFJsj3IUNltlPmDGmtgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200516_112154_576.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Arusha alipofanya ziara ya kutembelea Kituo cha Afya Kaloleni kujionea shughuli mbalimbali kwenye kituo hicho ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya siku tatu kukagua miradi ya Afya na Maji kwenye Halmashauri zote za mkoa huo hii ikiwa ni ziara yake kwenye halmashauri ya jiji la Arusha mwishoni mwaka wiki picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-apc-nwtwAPg/XsFn_mJy97I/AAAAAAAAJeE/w8hYk4bj6OYgme3OaXZb901SN4ffP0HWgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200516_112255_300.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha...
9 years ago
Press20 Dec
TUME YA MIPANGO OFISI YA RAIS YAKAGUA MIRADI YA VITUO VYA KUZALISHA UMEME VYA KIDATU NA KIHANSI
Bibi. Florence Mwanri, Kaimu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango (aliyevaa nguo nyeusi) akiangalia na kupata maelezo kutoka kwa Injinia wa kituo Bw. Rajabu Kindunda (wa tatu kulia) kuhusu Bwawa la Kidatu ambalo maji hukusanywa kutoka mto Rufiji kabla ya kutumika kwa ajili ya kuzalisha umeme. Wengine pamoja nae ni wataalamu kutoka Tume ya Mipango na TANESCO.
Bibi. Florence Mwanri, Kaimu Katibu Mtendaji, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango (aliyevaa nguo nyeusi) akiangalia eneo la...
9 years ago
Michuzi20 Dec
OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA VITUO VYA KUZALISHA UMEME VYA KIDATU NA KIHANSI
![SONY DSC](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/kid3.jpg)
![SONY DSC](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/kid4.jpg)