TFF YAUNDA KAMATI YA USHAURI YA LIGI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nFHVtrUNAOw/VaZeS3OJnXI/AAAAAAAHp5I/dK3zUDeH4OY/s72-c/tff-logo-230x130.jpg)
RAIS wa Shirikiso la Mpira wa Miguu nchini (TFF) Jamal Malinzi ameteua Kamati ya ushauri ya Ligi Kuu (VPL) na ligi Daraja la Kwanza (FDL) nchini.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo ni Alhaj Ahmed Mgoyi na katibu wa Kamati ni mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi nchini (TPLB) na wajumbe wengine saba.
1. Alhaji Ahmed Idd Mgoyi (Mwenyekiti)2. Boniface Wambura (Katibu)3. Kennedy Mwaisabula- Mjumbe4. Idd Mshangama- Mjumbe5. Amiri Mhando- Mjumbe6. Grace Hoka- Mjumbe7. Ibrahim Kaude (Vodacom)- Mjumbe8. Baruan Muhuza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi15 Oct
TFF YAUNDA KAMATI YA TAIFA STARS
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/VDWXDz51q26oe_9JNibFJZXIod4Vn1gVggGo3yWDMM_pJDRgmYtxnollbmcZR9xQ4D9nR3OezpqXClM8jw=s0-d-e1-ft#http://tff.or.tz/images/malinziArst.png)
Katika kuimarisha maandalizi ya Timu ya Taifa (Taifa Stars) kuelekea katika mashindano mbalimbali ikiwemo mechi mbili za ugenini na nyumbani dhidi ya Algeria, Rais wa TFF Jamal Malinzi ameunda kamati maalum itakayoitwa “Kamati ya Taifa Stars” ambayo majukumu yake yatakua:(i) Kuimarisha huduma kwa wachezaji,(ii) Uhamasishaji na Masoko,(iii) Kuhamasisha wachezaji,(iv) Kuandaa na kusimamia mkakati wa Ushindi.
Kamati hii itaongozwa na Mwenyekiti Farough Baghouzah, Teddy Mapunda (Katibu), Wajumbe...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dNrwMj2cLWc/Xk4OOTYxnlI/AAAAAAALeZg/p_AzkXLoTPcHcQ3RKwSDyI-FaIkfuaaogCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TFF YAUNDA KAMATI MPYA YA KUSIMAMIA MIRADI UJENZI VITUO VYA MICHEZO KIGAMBONI NA TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dNrwMj2cLWc/Xk4OOTYxnlI/AAAAAAALeZg/p_AzkXLoTPcHcQ3RKwSDyI-FaIkfuaaogCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Kabla ya kuunda Kamati hiyo, Kamati ya Utendaji ilipokea taarifa ya maandalizi ya utekelezaji wa miradi hiyo kwenye kikao chake kilichofanyika Februari 18, 2020 jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati hiyo ni QS Lucy Mzengi (Mwenyekiti), Mhandisi Hersi Said, Mhandisi Hamad Ramadhan,...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Taswa yaunda Kamati ya Tuzo
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), kimeunda Kamati Maalumu ya kusimamia utoaji wa Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania. Kamati hiyo ya watu 12, itakuwa chini ya uenyekiti...
9 years ago
Habarileo28 Aug
ZFA yaunda Kamati tano
CHAMA cha Soka Zanzibar (ZFA) Taifa kimeunda kamati tano zitakazosimamia masuala ya soka visiwani. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Ufundi wa chama hicho, Masoud Attai alipozungumza na gazeti hili ofisini kwake Amaan mjini Unguja.
10 years ago
StarTV05 May
Serikali yaunda kamati itakayoshughulikia wa wasafirishaji.
Na Lilian Mtono/ Edward Mbaga.
Dar es salaam.
Waziri mkuu Mizengo Pinda ameunda kamati ya kudumu itakayokuwa ikishughulikia matatizo yote yanayohusiana na usafirishaji, ikiwa ni sehemu ya kumaliza migogoro ya mara kwa mara ya usafiri, huku serikali ikionya magenge yanayojihusisha na kuzuia watu kutumia usafiri wa jumuiya.
Serikali inaunda kamati hii, wakati ambapo madereva wa mabasi wanagoma, ikiwa ni sehemu ya kushinikiza waajiri wao kuboresha maslahi, hali inayosababisha adha kubwa kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zyoP8QCjzTs/XoiciBjkM3I/AAAAAAALmBU/V_hLiEGWtQMYv-hDQ4Y_2hnG3QM4s4JOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200403-WA0015-768x576.jpg)
UKUNI YAUNDA KAMATI KUSIMAMIA CHANGAMOTO YA UBOVU WA BARABARA
WAKAZI wa Kitongoji cha Ukuni Kata ya Dunda ,wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, wameunda Kamati Maalumu itayosimamia ukarabati wa miundombinu ya Barabara ambayo imekuwa kero kwa wananchi .
Wakiwa katika kikao cha uundwaji wa Kamati hiyo, wajumbe wamejadiliana kwa kina kuhusiana na mchakato huo, unaolenga kuondokana na hali tete ya ubovu wa miundombinu hiyo iliyopo kwenye Kitongoji hicho, ambapo Kamati hiyo inatarajia kuanza kazi mara moja.
Mwenyekiti wa Kitongoji...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
TFF ya Malinzi yapewa ushauri
WAKATI uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi ukitimiza siku 100 hapo Februari 7 tangu ulipoingia madarakani Oktoba 27, mwaka jana, Mbwana Msumari, ambaye...
5 years ago
Michuzi10 years ago
Mwananchi18 Dec
TFF yatoa ushauri kwa viongozi Copa Coca Cola