TFF ya Malinzi yapewa ushauri
WAKATI uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi ukitimiza siku 100 hapo Februari 7 tangu ulipoingia madarakani Oktoba 27, mwaka jana, Mbwana Msumari, ambaye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 May
Simba yapewa ushauri
5 years ago
Bongo514 Feb
Yanga yapewa msaada na TFF ili iweze kurudi nyumbani
Wachezaji wa klabu ya Yanga sasa wanatarajia kuingia Dar es Salaam leo kutoka nchini Algeria.
Wameondoka na ndege ya Emirates badala ya Turkish Airways na imeelezwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limelazimika kutoa mkopo kwa klabu hiyo ili kuwakomboa.
Wachezaji saba na katibu mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa walichelewa ndege jijini Algeria na kulazimika kusubiri hadi Jumanne ndiyo waondoke na kutua nchini siku ya jumatano.
Wachezaji walioachwa ni Kelvin Yondani, Deogratius...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Tamu na chungu ya Malinzi TFF
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Malinzi amrejesha Mbwezeleni TFF
KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imefanya uteuzi wa wajumbe kuunda kamati mbili za haki na mbili za rufani za vyombo hivyo huku ikimrejesha aliyekuwa Mwenyekiti wa...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Malinzi; hii sumu isipenyezwe TFF
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nFHVtrUNAOw/VaZeS3OJnXI/AAAAAAAHp5I/dK3zUDeH4OY/s72-c/tff-logo-230x130.jpg)
TFF YAUNDA KAMATI YA USHAURI YA LIGI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nFHVtrUNAOw/VaZeS3OJnXI/AAAAAAAHp5I/dK3zUDeH4OY/s1600/tff-logo-230x130.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati hiyo ni Alhaj Ahmed Mgoyi na katibu wa Kamati ni mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi nchini (TPLB) na wajumbe wengine saba.
1. Alhaji Ahmed Idd Mgoyi (Mwenyekiti)2. Boniface Wambura (Katibu)3. Kennedy Mwaisabula- Mjumbe4. Idd Mshangama- Mjumbe5. Amiri Mhando- Mjumbe6. Grace Hoka- Mjumbe7. Ibrahim Kaude (Vodacom)- Mjumbe8. Baruan Muhuza...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Malinzi aitaka Simba kufuata kanuni TFF
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s72-c/Aa1.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kqWnqyhzt6Y/Vb9bue0MprI/AAAAAAABEHM/gdaiiRknC1c/s640/Aa1.jpg)
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Malinzi acha kujitetea, fanya kazi yako TFF