Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yapewa ushauri

>Mweka hazina msaidizi wa zamani wa Simba, Humprey Laban ameuonya uongozi wa klabu hiyo kwamba usithubutu kusajili wachezaji waliowahi kukipiga timu hiyo na baadaye kuhamia Yanga, akidai kuwa kufanya hivyo ni kukaribisha hujuma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TFF ya Malinzi yapewa ushauri

WAKATI uongozi mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais Jamal Malinzi ukitimiza siku 100 hapo Februari 7 tangu ulipoingia madarakani Oktoba 27, mwaka jana, Mbwana Msumari, ambaye...

 

5 years ago

Michuzi

SIMBA YAPEWA AZAM, YANGA DHIDI YA KAGERA KOMNE LA ASFC

Na Zainab Nyamka, Globu ya jamiiDROO ya upangaji wa mechi za robo faini ha Kombe la Azam Sports Federation Cup imefanyika kwa vigogo viwili vya soka kukutana katika hatua hiyo.
Upangaji huo umerushwa moja kwa moja na kituo cha Azam na kusimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF).
Katika mchezo wa kwanza, Simba Watakutana na Azam ikiaminiwa ni kuwa mchezo wenye ushindani mkubwa sana kutokana na historia ya mchezo wa ligi uliopita.
Mchezo wa pili utakuwa ni Yanga wakiwakaribisha Kagera...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chaneta yapewa changamoto

CHAMA cha Netiboli Tanzania (Chaneta), kimetakiwa kuwa na utaratibu wa kuwapandisha madaraja makocha na waamuzi wa mchezo huo ili waweze kupata nafasi ya kutumika kimataifa. Rai hiyo ilitolewa juzi na...

 

11 years ago

Habarileo

TBC yapewa OB-Van

SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC) limepokea gari la kisasa la matangazo (OBVan) lenye thamani ya Sh bilioni sita kutoka kwa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yabanwa, yapewa siku 30

SIKU moja baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuibana Serikali, ilipe deni la muda mrefu la Sh trilioni 8.4 kwa mashirika ya hifadhi ya jamii. Pia kamati hiyo imetoa mwezi mmoja kwa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kuhakikisha imekabidhi ripoti yake ya ukaguzi wa msamaha wa kodi inayotolewa na Serikali.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jembe FM ya Mwanza yapewa leseni

DSC_0644

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma akizungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi leseni kwa redio ya Jembe FM ya jijini Mwanza kwenye ofisi za makao makuu ya TCRA jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Profesa John Nkoma ametaka matumizi sahihi ya masafa ya radio yanayatumiwa kurusha vipindi vya radio kwa ajili ya maendeleo ya umma.

Kauli hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Zitto yapewa rungu

Naibu Spika wa Bunge, Job NdugaiBUNGE limesema hakuna mgongano wowote baina ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) na ile ya Nishati na Madini katika kushughulikia mikataba ya wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco yapewa kibarua kigumu

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa pili kulia) akiongozwa na Meneja Mwandamizi wa Tanesco Kanda ya Dar es Salaam na Pwani, Mahende Mugaya kukagua miradi ya umeme inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), katika kituo cha umeme cha Chalinze mkoani Pwani jana. (Picha na Wizara ya Nishati na Madini).MOJA ya sekta zenye mchango katika maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja zilizofanyiwa mabadiliko makubwa na ya kasi, ni upatikanaji wa umeme, ambapo Serikali imeagiza Shirika la Umeme (Tanesco), kuunganisha umeme kwa wateja siku ambayo wamelipa gharama za kuunganishiwa huduma hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Kamati ya Maridhiano yapewa rungu

BUNGE Maalumu la Katiba limeelezwa kuwa kamati ya mashauriano, ndio itakayokuwa na mamlaka ya kushughulikia malalamiko mbalimbali ya makundi ya wabunge, iwapo itatokea miongoni mwa makundi yaliyoko bungeni, yatasusia kikao cha Bunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani