Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chaneta yapewa changamoto

CHAMA cha Netiboli Tanzania (Chaneta), kimetakiwa kuwa na utaratibu wa kuwapandisha madaraja makocha na waamuzi wa mchezo huo ili waweze kupata nafasi ya kutumika kimataifa. Rai hiyo ilitolewa juzi na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bodi ya wabunifu majengo yapewa changamoto

NAIBU Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahman Kaniki, ameipa changamoto bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuhakikisha majengo yanayojengwa nchini yanakuwa bora na salama kwa makazi ya watu na kuepusha majanga ya majengo kuporomoka kama ilivyowahi kutokea.

 

10 years ago

StarTV

Kipato cha wakulima, Serikali yapewa changamoto.

Na Amina Saidi, Mbeya.

Serikali imeombwa kuangalia uwezekano wa kutopandisha kodi mwaka hadi mwaka kwa Kampuni zinazozalisha pombe ili kupunguza uagizaji wa malighafi za bidhaa hiyo kutoka nje ya Nchi na hivyo kuongeza kipato kwa wakulima wa ndani.

 

Kwa sasa wakulima wa ndani wa mazao yanayotumika kutengenezea bidhaa hiyo kama shayiri na mtama wameshindwa kunufaika na kampuni hizo kutokana na viwanda vya Bia nchini kununua mazao hayo kutoka nje ya nchi.

 

Licha ya Mtama na Ngano ama Shayiri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau CHANETA kukutana Feb. 25

CHAMA cha Netiboli Tanzania (CHANETA), kinatarajia kukutana tena na wadau Februari 25 kwa lengo la kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo ya mchezo huo unaokabiliwa na changamoto nyingi kubwa ikiwa ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chaneta yaanza kujipanga kimataifa

MWENYEKITI wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta), Anne Kibira amesema baada ya kwisha kwa Lidi Daraja la Kwanza hivi karibuni ambapo JKT Mbweni ya jijini Dar es Salaam wameibuka mabingwa,...

 

11 years ago

Mwananchi

Madeni yaikwaza Chaneta Mbeya

Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) Mkoa wa Mbeya, kimesema kinaona aibu kuratibu michuano ya mchezo huo ngazi ya mkoa kutokana na kudaiwa na watu waliotoa huduma kipindi cha Ligi Kuu ngazi ya Taifa iliyofanyika jijijini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHANETA Taifa Cup yakosolewa

WAKATI michuano ya netiboli kuwania Kombe la Taifa ‘CHANETA Taifa Cup’ ikiendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imekosolewa kutokana na kutawaliwa na wachezaji wa Dar es Salaam....

 

10 years ago

TheCitizen

Buoyant Chaneta eyes EA feat

The Tanzania Amateur Netball Association, Chaneta, is buoyant that Mainland teams will leave a mark at the East African Club Championship, which begins in Zanzibar on Saturday.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chaneta Tanzania kukutana na Serikali

Chama cha mchezo wa pete Tanzania (Chaneta) kimepanga kukutana na serikali kujadili namna ya kuandaa mashindano ya Afrika .

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani