Kipato cha wakulima, Serikali yapewa changamoto.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Serikali imeombwa kuangalia uwezekano wa kutopandisha kodi mwaka hadi mwaka kwa Kampuni zinazozalisha pombe ili kupunguza uagizaji wa malighafi za bidhaa hiyo kutoka nje ya Nchi na hivyo kuongeza kipato kwa wakulima wa ndani.
Kwa sasa wakulima wa ndani wa mazao yanayotumika kutengenezea bidhaa hiyo kama shayiri na mtama wameshindwa kunufaika na kampuni hizo kutokana na viwanda vya Bia nchini kununua mazao hayo kutoka nje ya nchi.
Licha ya Mtama na Ngano ama Shayiri...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMASAWE -WAKULIMA WAJIKITE KATIKA KILIMO CHA TEKNOLOJIA YA KISASA KUINUA KIPATO CHAO
WAKULIMA nchini wametakiwa watumie soko la Afrika Mashariki kwa kulima kilimo chenye tija na kutumia teknolojia mpya za kisasa huku wakiaswa kuachana na kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho hakiwaletei faida.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na mkurugenzi wa shamba darasa lililopo wilaya Kibaha mkoani Pwani Ephrahim Masawe na kuongeza kuwa soko hilo ndilo litakaloinua uchumi wao kwani linafaida kubwa.
Jambo kubwa ni kutumia mbegu bora na kutumia teknolojia mpya ikiwemo...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Chaneta yapewa changamoto
CHAMA cha Netiboli Tanzania (Chaneta), kimetakiwa kuwa na utaratibu wa kuwapandisha madaraja makocha na waamuzi wa mchezo huo ili waweze kupata nafasi ya kutumika kimataifa. Rai hiyo ilitolewa juzi na...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Bodi ya wabunifu majengo yapewa changamoto
NAIBU Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahman Kaniki, ameipa changamoto bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuhakikisha majengo yanayojengwa nchini yanakuwa bora na salama kwa makazi ya watu na kuepusha majanga ya majengo kuporomoka kama ilivyowahi kutokea.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Kipato, mavazi, changamoto kuu kwa uongozi mpya Bongo Movie
JANUARI 5, mwaka huu Klabu ya waigizaji ya Bongo Movie ilifanya uchaguzi wake wa kupata viongozi wapya watakaoiongoza kwa mwaka mzima wa 2014 kama katiba yao inavyotamka. Katika uchaguzi huo...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Serikali isikilize kilio cha wakulima wa pamba
10 years ago
Habarileo22 Oct
Serikali yabanwa, yapewa siku 30
SIKU moja baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuibana Serikali, ilipe deni la muda mrefu la Sh trilioni 8.4 kwa mashirika ya hifadhi ya jamii. Pia kamati hiyo imetoa mwezi mmoja kwa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kuhakikisha imekabidhi ripoti yake ya ukaguzi wa msamaha wa kodi inayotolewa na Serikali.
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Serikali yapewa hekta 360 za ardhi
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Serikali yapewa mabilioni kuboresha bandari
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Wakulima wa Tumbaku wakabiliwa na changamoto ya bei
Mkuu wa wilaya ya Manyoni,Bi Fatma Hassani Toufiq akifunga mkutano wa kwanza wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, uliofanyika hivi karibuni mjini hapa.
Baadhi ya wananchi,madiwani na wakulima wa zao la tumbaku wa tarafa ya Itigi waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni akiwemo Diwani wa kata ya Rungwa, Bwana Charles Machapaa wakiwa mkutanoni.(Picha zote na Jumbe...