Serikali yabanwa, yapewa siku 30
SIKU moja baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuibana Serikali, ilipe deni la muda mrefu la Sh trilioni 8.4 kwa mashirika ya hifadhi ya jamii. Pia kamati hiyo imetoa mwezi mmoja kwa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kuhakikisha imekabidhi ripoti yake ya ukaguzi wa msamaha wa kodi inayotolewa na Serikali.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 May
Serikali yabanwa pensheni ya wazee
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Serikali yabanwa dhana ya uvunaji maji
MBUNGE wa Baraza la Wawakilishi, Asaa Othamn Hamad (CUF), ameitaka Serikali kueleza dhana ya uvunaji wa maji ya mvua imeishia wapi.
Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge huyo alisema kutokana na mabadiliko ya tabianchi, licha ya kujaliwa rasilimali kama misitu, mito na maziwa, bado kuna maeneo yanayorejesha nyuma shughuli za kilimo.
“Je ile dhana ya Serikali ya kuvuna maji ya mvua, imeishi wapi?” alihoji.
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, alisema kwa...
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Serikali yabanwa kukosa fedha za maendeleo
10 years ago
Habarileo18 Nov
Serikali yabanwa ukaguzi Benki ya Wanawake
WABUNGE jana waliibana Serikali wakidai kuwa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB), fedha zake hazijakaguliwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), tangu kuanzishwa kwake.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
IMTU yapewa siku 14 kuhama majengo ya NDC
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Serikali yabanwa ilipe Sh8.4 tril mifuko ya hifadhi
10 years ago
Habarileo28 Oct
TPDC yapewa siku mbili kukabidhi mikataba ya gesi
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imelipa siku mbili Shirika la Maendeleo ya Mafuta na Petroli Tanzania (TPDC), kuhakikisha inakabidhi mikataba na taarifa ya mikataba ya gesi kwa Katibu wa Bunge. Agizo hilo lilitolewa jana na Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe baada ya TPDC kushindwa kutekeleza maagizo ya kamati hiyo iliyotoa takribani mwaka mmoja, hivyo kushindwa kuendelea kupitia hesabu za shirika hilo za mwaka 2012/13.
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Serikali yapewa hekta 360 za ardhi
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Serikali yapewa mabilioni kuboresha bandari