Serikali yabanwa dhana ya uvunaji maji
MBUNGE wa Baraza la Wawakilishi, Asaa Othamn Hamad (CUF), ameitaka Serikali kueleza dhana ya uvunaji wa maji ya mvua imeishia wapi.
Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge huyo alisema kutokana na mabadiliko ya tabianchi, licha ya kujaliwa rasilimali kama misitu, mito na maziwa, bado kuna maeneo yanayorejesha nyuma shughuli za kilimo.
“Je ile dhana ya Serikali ya kuvuna maji ya mvua, imeishi wapi?” alihoji.
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, alisema kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vsVsKzBWR-s/VcSuHdkCRpI/AAAAAAAHvEw/b0xrNTDsiUU/s72-c/mat1.jpg)
MAALIM AZINDUA UVUNAJI MATIKITI MAJI MUWANDA ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-vsVsKzBWR-s/VcSuHdkCRpI/AAAAAAAHvEw/b0xrNTDsiUU/s640/mat1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cb4oS45Xj5k/VcSuJLGzoaI/AAAAAAAHvE8/o30hVfuJvYc/s640/mat3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kS36r15umc8/VcSuJ_aFWUI/AAAAAAAHvFI/tP65cuZgOn0/s640/mat5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0URZaUuJkMQ/VcSuK-f1l9I/AAAAAAAHvFU/J30Rn6YPtVI/s640/mat7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kv6_y90mcL0/VcSaGQGRHJI/AAAAAAABEes/AhXLO1kJrHc/s72-c/mat1.jpg)
MAALIM SEIF AZINDUA UVUNAJI WA MATIKITI MAJI NA PILIPILI BOGA, SHEHIA YA DONGE MCHANGANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kv6_y90mcL0/VcSaGQGRHJI/AAAAAAABEes/AhXLO1kJrHc/s640/mat1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T7frGrg-x-I/VcSZ-ejmTRI/AAAAAAABEeU/c9fIwNlhXr0/s640/mat3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WFX8aI3aRF0/VcSaBMOrcXI/AAAAAAABEek/ja5xYggoqhU/s640/mat7.jpg)
Na: Hassan Hamad (OMKR)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif...
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Shirika la Helvetas Swiss Intercooperation Tanzania lashauri uvunaji wa maji ya mvua kusaidia kilimo cha umwagiliaji Mkoani Singida
Afisa tathimini wa shirika lisilo la kiserikali la Helvetas Tanzania, Shoma Nangale, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika juzi mjini hapa.Shoma ametoa wito kwa halmashauri za wilaya na manispaa, kuweka mikakati ya kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji cha mboga mboga.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zimehimizwa kuweka mikakati...
10 years ago
Habarileo22 Oct
Serikali yabanwa, yapewa siku 30
SIKU moja baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuibana Serikali, ilipe deni la muda mrefu la Sh trilioni 8.4 kwa mashirika ya hifadhi ya jamii. Pia kamati hiyo imetoa mwezi mmoja kwa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kuhakikisha imekabidhi ripoti yake ya ukaguzi wa msamaha wa kodi inayotolewa na Serikali.
11 years ago
Mwananchi25 May
Serikali yabanwa pensheni ya wazee
11 years ago
MichuziSerikali yafanikiwa kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu - Mafupa
Hayo yamesemwa na Meneja wa Wakala wa huduma za Misitu Tanzania kanda ya Kaskazini (TFS) bw. Cuthbert Mafupa wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea hifadhi ya Chome na ile ya Amani iliyipo mkoani Tanga ili kujifunza na kuona hatua...
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Serikali yabanwa kukosa fedha za maendeleo
10 years ago
Habarileo18 Nov
Serikali yabanwa ukaguzi Benki ya Wanawake
WABUNGE jana waliibana Serikali wakidai kuwa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB), fedha zake hazijakaguliwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), tangu kuanzishwa kwake.