MAALIM AZINDUA UVUNAJI MATIKITI MAJI MUWANDA ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-vsVsKzBWR-s/VcSuHdkCRpI/AAAAAAAHvEw/b0xrNTDsiUU/s72-c/mat1.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizindua uvunaji wa matikiti maji kwa wakulima wa shehia ya Donge Muwanda.
Mkulima wa matikiti maji na pilipili boga Bw. Salum Khamis Kiregu akitoa maelezo mbele ya Makamu wa Kwanza wa Rais kuhusiana na changamoto zinazowakabili katika kilimo hicho.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa pamoja na badhi ya wakulima wa Donge Mchangani na Muwanda, Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini “A” (kushoto)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kv6_y90mcL0/VcSaGQGRHJI/AAAAAAABEes/AhXLO1kJrHc/s72-c/mat1.jpg)
MAALIM SEIF AZINDUA UVUNAJI WA MATIKITI MAJI NA PILIPILI BOGA, SHEHIA YA DONGE MCHANGANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kv6_y90mcL0/VcSaGQGRHJI/AAAAAAABEes/AhXLO1kJrHc/s640/mat1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T7frGrg-x-I/VcSZ-ejmTRI/AAAAAAABEeU/c9fIwNlhXr0/s640/mat3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WFX8aI3aRF0/VcSaBMOrcXI/AAAAAAABEek/ja5xYggoqhU/s640/mat7.jpg)
Na: Hassan Hamad (OMKR)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I0UYBf3wgAA/VcTLQ16uIKI/AAAAAAAAAfI/kLCJcuGI2w8/s72-c/mat2.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, SEIF SHARIF HAMAD, ashiriki Uvunaji wa Matikiti
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0UYBf3wgAA/VcTLQ16uIKI/AAAAAAAAAfI/kLCJcuGI2w8/s1600/mat2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-deyPuTV14Ns/VcTLRsJ0TvI/AAAAAAAAAfM/gkgZhSk-QT8/s1600/mat4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UfZF8g3i2Nk/VcTLTRkBhJI/AAAAAAAAAfk/4cagCbvyA44/s640/mat6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-82Kynfooh8k/VcTLTiM2kDI/AAAAAAAAAfw/Hds2ubziE-s/s1600/mat7.jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Maalim Seif azindua ilani ya CUF Zanzibar
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
KINANA atinga jimbo la Mtambwe alikozaliwa Maalim Seif Sharrif Hamad wa CUF, azindua miradi ya Umeme, Maji
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiweka kifaa cha umeme kwenye transfoma wakati wa uzinduzi wa uwekaji nguzo za umeme katika Kijiji cha Chanjaani, Jimbo la Mtambwe, Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Zanzibar leo. Jimbo hilo ndilo alikozaliwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalimu Seif...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
Maalim Seif azindua ajenda ya kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akijibu maswali ya wanafunzi wa vyuo vikuu baada ya kuzindua ajenda ya chama chake ya kuifanya Zanzibar, kuwa kama Singapore. Na Hassan Hamad, OMKR […]
The post Maalim Seif azindua ajenda ya kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XnSwHTWj3YU/VSjGb2KtA7I/AAAAAAAHQPw/Nnbx_Nb6TLQ/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Maalim seif azindua msikiti wa Ijumaa MASJIDIL AQSAA katika kijiji cha Kiboje Mkwajuni, Zanzibar
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Serikali yabanwa dhana ya uvunaji maji
MBUNGE wa Baraza la Wawakilishi, Asaa Othamn Hamad (CUF), ameitaka Serikali kueleza dhana ya uvunaji wa maji ya mvua imeishia wapi.
Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge huyo alisema kutokana na mabadiliko ya tabianchi, licha ya kujaliwa rasilimali kama misitu, mito na maziwa, bado kuna maeneo yanayorejesha nyuma shughuli za kilimo.
“Je ile dhana ya Serikali ya kuvuna maji ya mvua, imeishi wapi?” alihoji.
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, alisema kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cu2qYYyNUzc/UvozjuZUoII/AAAAAAAFMZA/TvN4uDVriHc/s72-c/unnamed+(90).jpg)
Maalim Seif atembelea sehemu inayoingia maji ya chumvi katika eneo la Kilimani mjini Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-cu2qYYyNUzc/UvozjuZUoII/AAAAAAAFMZA/TvN4uDVriHc/s1600/unnamed+(90).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VTJeoqxs75o/Uvozj963obI/AAAAAAAFMZI/PpFz656mz18/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tD5wO4IkCWo/Uvozj0EjuZI/AAAAAAAFMZE/2mR94Uck0ZE/s1600/unnamed+(92).jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Shirika la Helvetas Swiss Intercooperation Tanzania lashauri uvunaji wa maji ya mvua kusaidia kilimo cha umwagiliaji Mkoani Singida
Afisa tathimini wa shirika lisilo la kiserikali la Helvetas Tanzania, Shoma Nangale, akichangia ajenda zilizokuwa zinatolewa kwenye kikao cha kamati ya maendeleo (RCC) mkoa wa Singida kilichofanyika juzi mjini hapa.Shoma ametoa wito kwa halmashauri za wilaya na manispaa, kuweka mikakati ya kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji cha mboga mboga.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zimehimizwa kuweka mikakati...