KINANA atinga jimbo la Mtambwe alikozaliwa Maalim Seif Sharrif Hamad wa CUF, azindua miradi ya Umeme, Maji
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiweka kifaa cha umeme kwenye transfoma wakati wa uzinduzi wa uwekaji nguzo za umeme katika Kijiji cha Chanjaani, Jimbo la Mtambwe, Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Zanzibar leo. Jimbo hilo ndilo alikozaliwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalimu Seif...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2bjJJhuJIm0/default.jpg)
9 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AZINDUA MASKANI YA VIJANA WALOHAMIA CCM KUTOKA CUF HUKO MITAMBUUNI, MTAMBWE
9 years ago
MichuziMaalim SEIF SHARIF HAMAD akutana na Wagombea wa CUF - Pemba
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZLWkp7iqi0w/VewRCwA1npI/AAAAAAABG7M/yd4CjTn99kw/s72-c/Aaa.jpg)
MAALIM SEIF SHARIF HAMAD AZINDUA KAMATI ZA USHINDI ZA WANAWAKE KISIWANI PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZLWkp7iqi0w/VewRCwA1npI/AAAAAAABG7M/yd4CjTn99kw/s640/Aaa.jpg)
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wajumbe wa Kamati za Ushindi za Wanawake wa CUF kutoka Wilaya nne za Pemba huko skuli ya Fidel Castro.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ze4jKryF0-s/VewRDBXr3qI/AAAAAAABG7U/74GAvt47nIU/s640/Aa1.jpg)
Wajumbe wa Kamatui za Ushindi za Wanawake kisiwani Pemba wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama hicho, Mhe. Maalim Seif Sharif Hanmad mara baada ya kuzindua kamati hizo huko skuli ya Fidel Castro mkoa wa Kuisni Pemba.
Na. OMKR Zanzibar
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad leo amezindua Kamati za Ushindi za...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Maalim Seif azindua ilani ya CUF Zanzibar
Chama cha Wananchi (CUF), Zanzibar kimezindua ilani yake inayoainisha vipaumbele 35 ambavyo kitavifanyia kazi chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa iwapo kitashinda Oktoba 25.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7UviuGsaCRQ/UvyEuSied_I/AAAAAAAFMvA/CFAUQTVglYA/s72-c/unnamed.jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad aagiza eneo la linaloingia maji chumvi kilimani lilejeshwe serikalini
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameiagiza Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar kukubaliana na mtu aliyepewa eneo linaloingia maji ya chumvi lililopo Kilimani, ili liweze kurejeshwa serikalini.
Amesema eneo hilo lililokuwa likitumika kwa shughuli za kilimo, pia lipo karibu na makaazi ya watu pamoja na ofisi za serikali ikiwemo Tume ya Uchaguzi Zanzibar, na kwamba iwapo litaachiwa linaweza kuleta athari kubwa.
Maalim Seif ametoa agizo hilo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, akimtambulisha Mansour Yussuf Himid kwa wanachama na wapenzi wa CUF Kiembesamaki, Unguja, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1dvjgONdeg/VQ7nPLRXu5I/AAAAAAAHMOA/jfx-qJ4EJTA/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL5gBZbwS8c/VQ7nRV5NkII/AAAAAAAHMOU/Ge0grmUQWyY/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p9i-w94Y6O4/VQ7nQnJsOxI/AAAAAAAHMOM/dVo6dNlFNzw/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
VijimamboKINANA AUNGURUMA JIMBO LA MAALIM SEIF
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiweka kifaa cha umeme kwenye transfoma wakati wa uzinduzi wa uwekaji nguzo za umeme katika Kijiji cha Chanjaani, Jimbo la Mtambwe, Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Zanzibar leo. Jimbo hilo ndilo alikozaliwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalimu Seif...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kv6_y90mcL0/VcSaGQGRHJI/AAAAAAABEes/AhXLO1kJrHc/s72-c/mat1.jpg)
MAALIM SEIF AZINDUA UVUNAJI WA MATIKITI MAJI NA PILIPILI BOGA, SHEHIA YA DONGE MCHANGANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kv6_y90mcL0/VcSaGQGRHJI/AAAAAAABEes/AhXLO1kJrHc/s640/mat1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T7frGrg-x-I/VcSZ-ejmTRI/AAAAAAABEeU/c9fIwNlhXr0/s640/mat3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WFX8aI3aRF0/VcSaBMOrcXI/AAAAAAABEek/ja5xYggoqhU/s640/mat7.jpg)
Na: Hassan Hamad (OMKR)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania