Maalim Seif azindua ilani ya CUF Zanzibar
Chama cha Wananchi (CUF), Zanzibar kimezindua ilani yake inayoainisha vipaumbele 35 ambavyo kitavifanyia kazi chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa iwapo kitashinda Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cjC1ZVn10Jk/VQ1rSOLtkZI/AAAAAAAHL8k/xUa50LlABWk/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MAALIM SEIF AZUNGUMZA NA WAZEE WA CUF MJINI ZANZIBAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-cjC1ZVn10Jk/VQ1rSOLtkZI/AAAAAAAHL8k/xUa50LlABWk/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PBwfq1KH41I/VQ1rR5wJZjI/AAAAAAAHL8g/1uYeJ3szVAI/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-urIdvEjMj0c/VQ1rT5-36pI/AAAAAAAHL80/jm9cqjL8B64/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N_4y_JygePg/VQ1rTLc7deI/AAAAAAAHL8w/Ab-k8d3QbpE/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
KINANA atinga jimbo la Mtambwe alikozaliwa Maalim Seif Sharrif Hamad wa CUF, azindua miradi ya Umeme, Maji
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiweka kifaa cha umeme kwenye transfoma wakati wa uzinduzi wa uwekaji nguzo za umeme katika Kijiji cha Chanjaani, Jimbo la Mtambwe, Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Zanzibar leo. Jimbo hilo ndilo alikozaliwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalimu Seif...
9 years ago
MichuziMGOMBEA URAIS ZANZIBAR (CUF) MAALIM SEIF AOMBA KURA KWA WAKAZI WA BUBUBU
Akiwahutubia wafuasi wa Chama hicho katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Kwageji Bububu, Maalim Seif amesema atarekebisha mfumo wa ushuru katika bandari ili kuepusha wafanyabiashara kulipa ushuru mara mbili wanaposafirisha mizigo yao kuelekea bandari ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Oct
Maalim Seif azindua ajenda ya kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akijibu maswali ya wanafunzi wa vyuo vikuu baada ya kuzindua ajenda ya chama chake ya kuifanya Zanzibar, kuwa kama Singapore. Na Hassan Hamad, OMKR […]
The post Maalim Seif azindua ajenda ya kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XnSwHTWj3YU/VSjGb2KtA7I/AAAAAAAHQPw/Nnbx_Nb6TLQ/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Maalim seif azindua msikiti wa Ijumaa MASJIDIL AQSAA katika kijiji cha Kiboje Mkwajuni, Zanzibar
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Ufunguzi wa ilani ya CUF Zanzibar
Zanzibar. Chama cha Wananchi (CUF), Zanzibar kimezindua ilani yake inayoainisha vipaumbele 35 ambavyo kitavifanyia kazi chini ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa iwapo kitashinda Oktoba 25. Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ilani […]
The post Ufunguzi wa ilani ya CUF Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PUcK98SfzZo/VQ1gyoo9i2I/AAAAAAAHL8E/LOOYKDDrewo/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
MAALIM SEIF AZUNGUMZA NA WAZEE WA CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-PUcK98SfzZo/VQ1gyoo9i2I/AAAAAAAHL8E/LOOYKDDrewo/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xcA898AMLps/VQ1gyhY_sII/AAAAAAAHL8I/k3HnbrKYcBg/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Maalim Seif ajivunia mafanikio CUF
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema mafanikio na changamoto katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, viwe vitendea kazi kwa uongozi mpya utakaopatikana baada ya...
11 years ago
Habarileo01 Jun
Maalim Seif aita washindani CUF
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, na kusisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha Wazanzibari.