Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPDC yapewa siku mbili kukabidhi mikataba ya gesi

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imelipa siku mbili Shirika la Maendeleo ya Mafuta na Petroli Tanzania (TPDC), kuhakikisha inakabidhi mikataba na taarifa ya mikataba ya gesi kwa Katibu wa Bunge. Agizo hilo lilitolewa jana na Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe baada ya TPDC kushindwa kutekeleza maagizo ya kamati hiyo iliyotoa takribani mwaka mmoja, hivyo kushindwa kuendelea kupitia hesabu za shirika hilo za mwaka 2012/13.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bunge laitaka TPDC kukabidhi mikataba 26

Ofisi ya Bunge imeutaka uongozi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba 26 kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo saa 4:00 asubuhi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mikataba ya gesi yawaponza vigogo TPDC

KATIKA hali isiyo ya kawaida, Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), James Andilile na Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika hilo, Michael Mwanda, jana wameshikiliwa na Jeshi...

 

10 years ago

Mwananchi

TPDC yapewa nguvu kuagiza mafuta ya akiba

Dar es Salaam. Hofu imetanda kuwa endapo Serikali itapitisha mpango mpya kwa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) kuleta mafuta ya akiba nchini, bei za mafuta zitafumuka na kuwaumiza Watanzania.

 

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Kiongozi ahitimisha Ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua mradi wa bomba la gesi aasilia

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO  Serikali imesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi asilia kutoka Mtwara hadi Dar es salaam unaenda vizuri kulingana na ratiba yake na utakamilika kwa wakati.  Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipotembelea kituo cha kufua umeme kwa kutumia gesi asilia kinachojengwa Kinyerezi wakati akihitimisha ziara yake ya siku mbili ya kukagua mradi wa ujenzi wa bomba la gesi jijini Dar es salaam.  Balozi Sefue alisema...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA SIKU MBILI WA NCHI ZA AFRIKA KUANZISHA MAFUNZO YA MAFUTA NA GESI KATIKA VYUO VYA UFUNDI STADI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Mohamed Gharib Bilal (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam,Profesa Hudson Nkotagu kuhusu uzalishaji wa Digrii 4 zinazozalishwa chuo kikuu cha Dar es Salaam,wakati wa Mkutano wa Jitihada za Nchi za Afrika za kuzalisha mafuta na Gesi Katika Vyuo vya mafunzo Stad,uliofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Julias Nyerere Jijini Dar es salaam.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

9 years ago

Michuzi

TPDC: Gesi asilia ipo na ziada

Mkurungezi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania, Dkt. James Mataragio, amesema hali ya uzalishaji wa gesi asilia nchini ni nzuri, alieleza kuwa mitambo ya kuchakata gesi asilia kule Madimba Mkoani Mtwara na Songo Songo Mkoani Lindi inao uwezo wa kuzalisha futi za ujazo milioni 240 za gesi asilia, huku gesi anayo tumika ikiwa futi za ujazo milioni 146 za gesi asilia. 
Dk. Mataragio ameongeza kuwa mchanganuo huo wa uzalishaji wa gesi unazidi mahitaji yetu kwa sasa na hivyo...

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa gesi ‘waikuna’ Bodi Wakurugenzi TPDC

BODI ya Wakurugenzi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), imeridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa miundombinu ya gesi asilia ambayo imekamilika kwa asilimia 95.

 

10 years ago

Mtanzania

AG MASAJU: Nitaanza na mikataba ya gesi

DSC_2303NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju, amesema anataka muda zaidi ili aweze kuzungumzia suala la Kampuni ya Kufua Umeme Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na mikataba ya gesi ambayo imekuwa ikitakiwa kuwekwa wazi.
Masaju aliyasema hayo jana, Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya kuapishwa na Rais Jakaya Kikwete kuchukua nafasi ya Jaji Frederick Werema, aliyejiuzulu nafasi hiyo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye...

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Nitapitia mikataba ya gesi

mtz1NA FLORENCE SANAWA, MTWARA

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amesema kama akichaguliwa kuwa rais, ataunda tume ya kuchunguza na kushughulikia mikataba yote ya gesi.

Akihutubia mamia ya wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Mashujaa mkoani Mtwara jana, Lowassa alisema kama wananchi wakimpa ridhaa ya kuongoza Tanzania, atakahakikisha wanapatikana wataalamu kutoka ndani na nje ya nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani