Serikali yabanwa ilipe Sh8.4 tril mifuko ya hifadhi
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeamua kuibana Serikali ilipe deni la Sh8.43 trilioni inalodaiwa na mifuko ya hifadhi ya Jamii ili kuinusuru.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
‘Serikali ilipe madeni mifuko hifadhi ya jamii’
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, Said Mtanda, ameitaka serikali kulipa madeni ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, ili kusaidia mifuko hiyo kuweza kufanya shughuli za maendeleo...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Mwigulu: Tutalipa deni la Sh8.4 Tril
10 years ago
Habarileo26 Nov
Serikali yajipanga kulipa mifuko ya hifadhi
SERIKALI imesema inaandaa utaratibu wa kulipa fedha zote inazodaiwa na mifuko ya hifadhi ya jamii nchini.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Serikali inafilisi Mifuko Hifadhi ya Jamii
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Serikali yazidi kubanwa deni mifuko ya hifadhi
11 years ago
Habarileo26 May
Serikali yakanusha kutohudumia mikopo Mifuko ya hifadhi
MIKOPO inayotolewa na Mifuko ya Hifadhi za Jamii nchini kwa serikali nchini inatolewa baada ya kudhibitishwa na Benki Kuu (BoT) na SSRA ambayo pia inasimamia ulipwaji wake ambao serikali inaendelea kulipa.
10 years ago
Habarileo05 Apr
CWT yaitaka serikali ilipe madeni ya walimu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi ya kulipa madeni ya fedha za walimu ambayo yamewasilishwa serikalini ili kuepusha kutokea msuguano katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi28 May
Fedha mifuko ya hifadhi zisichezewe
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Changamoto za mifuko ya hifadhi ya jamii