Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwigulu: Tutalipa deni la Sh8.4 Tril

Serikali imesema inaandaa utaratibu wa jinsi ia kulipa madeni inayodaiwa na taasisi za hifadhi ya jamii pamoja na Bohari ya Dawa (MSD).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali yabanwa ilipe Sh8.4 tril mifuko ya hifadhi

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeamua kuibana Serikali ilipe deni la Sh8.43 trilioni inalodaiwa na mifuko ya hifadhi ya Jamii ili kuinusuru.

 

10 years ago

Habarileo

Tutalipa kisasi kwa Azam-Mkwasa

KOCHA Msaidizi wa Yanga Charles Mkwasa amesema kuna uwezekano mkubwa wa kushinda katika mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Azam FC ikiwa watafanya maandalizi mazuri.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Migodi ya dhahabu yakusanya mrabaha tril. 2/-

JUMLA ya sh trilioni 2.07 zimekusanywa kama kodi na mrabaha kutoka kwa wamiliki wa migodi mikubwa ya dhahabu nchini. Fedha hizo ni sawa na asilimia 9.3 ya mapato yote ya...

 

10 years ago

Habarileo

Bodi ya Barabara yafanya mgawo wa tril. 3/-

BODI ya Mfuko wa Barabara imefanya mgawo wa Sh trilioni 2.9 za mfuko huo kwa miaka 10 iliyopita kwenda kwa wakala wa utekelezaji kwa ajili ya matengenezo ya barabara nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gesi itaokoa tril. 1.6/- kwa mwaka

SERIKALI inaweza kuokoa sh trilioni 1.6 kila mwaka iwapo gesi ya Mtwara itatumika vizuri. Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Nishati na Madini, Victor...

 

11 years ago

Habarileo

Pato la Mkoa wa Tanga lafikia tril. 2.099/-

PATO ghafi la Mkoa wa Tanga (GDP) limeongezeka na kufikia wastani wa Sh trilioni 2.099 kwa mwaka 2013 kutoka wastani wa Sh trilioni 1.78 mwaka 2012. Hali hiyo imefanya mkoa kushika nafasi ya nane kitaifa.

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU HABARI NYINGINE HUKO IRAMBA MBIO ZA UBUNGE NDANI YA CCM,JAIRO NA WENZAKE WAJITOA,MWIGULU KUSHINDA KWA KISHINO

Mwigulu Nchemba akiondoka Viwanja vya Shelui mara baada ya Mkutano wa Kampeni Kumalizika.Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wake Kata ya Shelui wakati wa Mkutano wa Kampeni ya kura ya Maoni za UBunge kuwania kuteuliwa kupeperusha Bendera ya CCM Wilaya ya IrambaMwigulu Nchemba akilakiwa na Wananchi wake kijiji cha Tulya wilayani Iramba wakati wa kampeni za Kura ya Maoni ya kuwania Ubunge ndani ya CCM.
Mwigulu Nchemba akifurahia mwenendo wa kampeni za kura ya maoni na Wananchi wake.

 

11 years ago

GPL

BAJETI KUU YA SERIKALI: TAKRIBANI SH. TRIL. 19. 7 ZATARAJIWA KUTUMIKA MWAKA 2014/2015

Spika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda akiwaasa wabunge wote kushiriki kikamilifu katika kamati zao kizalendo kwa kujali nchi yao ili ipatikane bajeti yenye tija kwa taifa leo (jana) wakati wa kupokea taarifa ya Wizara ya fedha jijini Dar es salaam. Waziri wa Fedha Saada Mkuya  Salum akiwasilisha taarifa ya sura ya Bajeti kuu ya Serikali kwa wabunge leo (jana)  jijini Dar es salaam… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mfanyabiashara aporwa Sh8 milioni

Mfanyabiashara wa duka la kubadilisha fedha mjini Tunduma, Alphonce Mwanjela (36) ameporwa Sh5.2 milioni muda mfupi baada ya kufunga duka lake na kuanza safari ya kurejea nyumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani