Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Migodi ya dhahabu yakusanya mrabaha tril. 2/-

JUMLA ya sh trilioni 2.07 zimekusanywa kama kodi na mrabaha kutoka kwa wamiliki wa migodi mikubwa ya dhahabu nchini. Fedha hizo ni sawa na asilimia 9.3 ya mapato yote ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA NISHATI NA MADINI


TANGAZO.


MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU WA HUDUMA KWA KIWANGO CHA 0.3% YA MAPATO GHAFI KWA HALMASHAURI ZA WILAYA NA MIJI.
Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa Geita unaomilikiwa na kampuni ya AngloGold Ashanti; na migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara inayomilikiwa na kampuni ya Acacia Mining, imeanza kulipa ushuru wa huduma kwa kiwango...

 

11 years ago

Mwananchi

Halmashauri zagombania mrabaha

Halmashauri ya Wilaya ya Geita inadaiwa kugomea kuachia mrabaha na kodi ya huduma inayolipwa kila mwaka kwa halmashauri, inayolipwa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM).

 

10 years ago

Mwananchi

Wachimbaji wadogo wakwepa kulipa mrabaha

 Serikali imesema leseni 15 tu kati ya 551 za wachimbaji wadogo kwenye eneo la Mirerani ndizo zimelipa mrabaha katika kipindi cha kuanzia 2010 hadi Machi 2014.

 

9 years ago

StarTV

CHADEMA kuhakikisha fedha za mrabaha zinawanufaisha wananchi

Mgombea ubunge jimbo la Tarime vijijini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amesema kama wananchi watamchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha wananufaika na pesa za mrabaha zinazotolewa kila mwaka na kampuni ya kuchimba madini ya ACACIA.

Amesema fedha hizo zitatumika kulipa pensheni kwa wazee wa jimbo hilo na kuhakikisha kila mmoja anakuwa na fursa sawa kuweza kupata fedha hizo za mrahaba zinazotolewa.

Heche amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni za...

 

10 years ago

Michuzi

TMAA imeiwezesha Serikali kukusanya mrabaha wa jumla ya shilingi billioni 5.2

Na Georgina Misama-MAELEZO 
 Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) imeiwezesha Serikali kukusanya mrabaha wa jumla ya shilingi billioni 5.2 tangu kuanzishwa kwa wakala huo.
Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi uzalishaji na usafirishaji wa madini Bwn Conrad Mtui wakati wa ziara ya waandishi wa habari walipotembelea migodi ya Lugoba na Msolwa Chalinze, hivi karibuni.
“Wakala umefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi bilioni 5.2 kutokana na madini hayo yaliyozalishwa na kuuzwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Bodi ya Barabara yafanya mgawo wa tril. 3/-

BODI ya Mfuko wa Barabara imefanya mgawo wa Sh trilioni 2.9 za mfuko huo kwa miaka 10 iliyopita kwenda kwa wakala wa utekelezaji kwa ajili ya matengenezo ya barabara nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gesi itaokoa tril. 1.6/- kwa mwaka

SERIKALI inaweza kuokoa sh trilioni 1.6 kila mwaka iwapo gesi ya Mtwara itatumika vizuri. Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Nishati na Madini, Victor...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwigulu: Tutalipa deni la Sh8.4 Tril

Serikali imesema inaandaa utaratibu wa jinsi ia kulipa madeni inayodaiwa na taasisi za hifadhi ya jamii pamoja na Bohari ya Dawa (MSD).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani