Migodi ya dhahabu yakusanya mrabaha tril. 2/-
JUMLA ya sh trilioni 2.07 zimekusanywa kama kodi na mrabaha kutoka kwa wamiliki wa migodi mikubwa ya dhahabu nchini. Fedha hizo ni sawa na asilimia 9.3 ya mapato yote ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi01 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hFVJpaTEVUo/VO2hV-CPUoI/AAAAAAAHFzw/2S2b-l-j-Ck/s72-c/New%2BPicture.png)
MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFVJpaTEVUo/VO2hV-CPUoI/AAAAAAAHFzw/2S2b-l-j-Ck/s1600/New%2BPicture.png)
TANGAZO.
MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU WA HUDUMA KWA KIWANGO CHA 0.3% YA MAPATO GHAFI KWA HALMASHAURI ZA WILAYA NA MIJI.
Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa Geita unaomilikiwa na kampuni ya AngloGold Ashanti; na migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara inayomilikiwa na kampuni ya Acacia Mining, imeanza kulipa ushuru wa huduma kwa kiwango...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Halmashauri zagombania mrabaha
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Wachimbaji wadogo wakwepa kulipa mrabaha
9 years ago
StarTV04 Sep
CHADEMA kuhakikisha fedha za mrabaha zinawanufaisha wananchi
Mgombea ubunge jimbo la Tarime vijijini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amesema kama wananchi watamchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha wananufaika na pesa za mrabaha zinazotolewa kila mwaka na kampuni ya kuchimba madini ya ACACIA.
Amesema fedha hizo zitatumika kulipa pensheni kwa wazee wa jimbo hilo na kuhakikisha kila mmoja anakuwa na fursa sawa kuweza kupata fedha hizo za mrahaba zinazotolewa.
Heche amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o6pPnVMr3hE/VDP1vxVXa7I/AAAAAAAGohc/4tBDUAI3XAM/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
TMAA imeiwezesha Serikali kukusanya mrabaha wa jumla ya shilingi billioni 5.2
Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) imeiwezesha Serikali kukusanya mrabaha wa jumla ya shilingi billioni 5.2 tangu kuanzishwa kwa wakala huo.
Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi uzalishaji na usafirishaji wa madini Bwn Conrad Mtui wakati wa ziara ya waandishi wa habari walipotembelea migodi ya Lugoba na Msolwa Chalinze, hivi karibuni.
“Wakala umefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi bilioni 5.2 kutokana na madini hayo yaliyozalishwa na kuuzwa na...
10 years ago
Habarileo12 Aug
Bodi ya Barabara yafanya mgawo wa tril. 3/-
BODI ya Mfuko wa Barabara imefanya mgawo wa Sh trilioni 2.9 za mfuko huo kwa miaka 10 iliyopita kwenda kwa wakala wa utekelezaji kwa ajili ya matengenezo ya barabara nchini.
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Gesi itaokoa tril. 1.6/- kwa mwaka
SERIKALI inaweza kuokoa sh trilioni 1.6 kila mwaka iwapo gesi ya Mtwara itatumika vizuri. Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Nishati na Madini, Victor...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Mwigulu: Tutalipa deni la Sh8.4 Tril