CHADEMA kuhakikisha fedha za mrabaha zinawanufaisha wananchi
Mgombea ubunge jimbo la Tarime vijijini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amesema kama wananchi watamchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha wananufaika na pesa za mrabaha zinazotolewa kila mwaka na kampuni ya kuchimba madini ya ACACIA.
Amesema fedha hizo zitatumika kulipa pensheni kwa wazee wa jimbo hilo na kuhakikisha kila mmoja anakuwa na fursa sawa kuweza kupata fedha hizo za mrahaba zinazotolewa.
Heche amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni za...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
CHADEMA: Fedha za maendeleo haziwafikii wananchi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa fedha zinazoidhinishwa na Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo ya wananchi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CwzdzQEnlBs/UyR-aXA5nRI/AAAAAAACcfw/ExH9bXwDoNs/s72-c/IMG_9819.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:MBUNGE WA CHADEMA AKAMATWA NA JESHI LA POLISI IRINGA AKITUHUMIWA KUGAWA FEDHA KWA WANANCHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CwzdzQEnlBs/UyR-aXA5nRI/AAAAAAACcfw/ExH9bXwDoNs/s1600/IMG_9819.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Apr
Ataka Serikali kuhakikisha uhuru wa habari kusaidia wananchi
MWANDISHI mkongwe Jenerali Ulimwengu alinyakua tuzo ya Utumishi Uliotukuka katika Tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kutokana na mchango wake katika tasnia ya habari na kukemea maovu bila woga kwa kutumia kalamu yake.
5 years ago
MichuziZanzibar kuendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure pamoja na kuwasafirisha Wagonjwa nje ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed huko Hospitali ya Rufaa Mnazi mmoja katika Wodi ya Wagonjwa wa Ngozi .
Alisema Serikali haijashindwa kuwahudumia wananchi wake hivyo si vyema kuisambaza picha ya Mgonjwa katika mitandao ya kijamii kwa nia ya kutafuta michango ya wafadhili...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Halmashauri zagombania mrabaha
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Migodi ya dhahabu yakusanya mrabaha tril. 2/-
JUMLA ya sh trilioni 2.07 zimekusanywa kama kodi na mrabaha kutoka kwa wamiliki wa migodi mikubwa ya dhahabu nchini. Fedha hizo ni sawa na asilimia 9.3 ya mapato yote ya...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Wachimbaji wadogo wakwepa kulipa mrabaha
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Mawaziri simamieni vizuri fedha za wananchi
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha
WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...