Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ataka Serikali kuhakikisha uhuru wa habari kusaidia wananchi

Mwanahabari Nguli nchini, Jenerali Ulimwengu.MWANDISHI mkongwe Jenerali Ulimwengu alinyakua tuzo ya Utumishi Uliotukuka katika Tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kutokana na mchango wake katika tasnia ya habari na kukemea maovu bila woga kwa kutumia kalamu yake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ataka wataalamu wa kilimo kusaidia wananchi

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni SefueKATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amewataka wataalamu wa kilimo katika halmashauri kuwa karibu na wananchi ili kuwasaidia kuboresha kilimo na mifugo yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali isijiingize kukandamiza uhuru wa habari

Serikali inakusudia kuwasilisha bungeni, miswada miwili ya Haki ya Kupata Habari na ule wa Huduma za Vyombo vya Habari ili iweze kupitishwa kuwa sheria.

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Serikali isiogope uhuru wa vyombo vya habari

>Kati ya mijadala ya Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma, ule  wa Wizara Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ulinigusa zaidi kutokana na taaluma ninayofanyia kazi.

 

5 years ago

CCM Blog

NGEMELA: CCM INAUNGA MKONO MAZUNGUMZO KUHAKIKISHA SAHARAWI INAPATA UHURU BILA VITA

CCM, Lumumba
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaunga mkono mazungumzo yanayoendelea katika nyanja za kimataifa kuhakikisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu Saharawi inapata Uhuru kwa sababu vita vina gharama kubwa ikiwa ni pamoja na kuua watu wasio na hatia

Kimebainisha kuwa wakati wote kimekuwa kikisimamia Haki na Usawa kwa Imani yake kwamba Binadamu wote ni sawa. 

Hayo yamesemwa na Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali mstaafu Ngemela Lubinga wakati akizungumza na...

 

9 years ago

StarTV

CHADEMA kuhakikisha fedha za mrabaha zinawanufaisha wananchi

Mgombea ubunge jimbo la Tarime vijijini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amesema kama wananchi watamchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha wananufaika na pesa za mrabaha zinazotolewa kila mwaka na kampuni ya kuchimba madini ya ACACIA.

Amesema fedha hizo zitatumika kulipa pensheni kwa wazee wa jimbo hilo na kuhakikisha kila mmoja anakuwa na fursa sawa kuweza kupata fedha hizo za mrahaba zinazotolewa.

Heche amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni za...

 

5 years ago

Michuzi

Zanzibar kuendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure

Na Khadija  Khamis- Maelezo Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure pamoja na kuwasafirisha  Wagonjwa nje ya nchi.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa  Afya Hamad Rashid Mohamed huko Hospitali ya Rufaa Mnazi mmoja katika Wodi ya Wagonjwa wa Ngozi  .

Alisema Serikali haijashindwa kuwahudumia wananchi wake hivyo si vyema kuisambaza picha ya Mgonjwa katika mitandao ya kijamii kwa nia ya kutafuta  michango ya wafadhili...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Mukangara ataka wakufunzi kusaidia wajasiriamali vijijini

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amewataka wakufunzi wa wajasiriamali nchini kuhakikisha wanawasaidia wajasiriamali hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtaka ataka jamii kusaidia wenye uhitaji

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, ameitaka jamii kubadilika na kuwasaidia watu wenye kuhitaji misaada mbalimbali badala ya kujinufaisha wenyewe kwa mambo yasiyo na tija. Mtaka alitoa kauli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani