Ataka Serikali kuhakikisha uhuru wa habari kusaidia wananchi
MWANDISHI mkongwe Jenerali Ulimwengu alinyakua tuzo ya Utumishi Uliotukuka katika Tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kutokana na mchango wake katika tasnia ya habari na kukemea maovu bila woga kwa kutumia kalamu yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Aug
Ataka wataalamu wa kilimo kusaidia wananchi
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amewataka wataalamu wa kilimo katika halmashauri kuwa karibu na wananchi ili kuwasaidia kuboresha kilimo na mifugo yao.
10 years ago
Mwananchi28 May
Serikali isijiingize kukandamiza uhuru wa habari
11 years ago
Mwananchi04 Jun
DIRA: Serikali isiogope uhuru wa vyombo vya habari
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5X6tu4kcwEE/XqxA76CigzI/AAAAAAACKCE/DUUdwCelNJsbRff6r607Em1_cZRRIC7nwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0217.jpg)
NGEMELA: CCM INAUNGA MKONO MAZUNGUMZO KUHAKIKISHA SAHARAWI INAPATA UHURU BILA VITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5X6tu4kcwEE/XqxA76CigzI/AAAAAAACKCE/DUUdwCelNJsbRff6r607Em1_cZRRIC7nwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200501-WA0217.jpg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaunga mkono mazungumzo yanayoendelea katika nyanja za kimataifa kuhakikisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu Saharawi inapata Uhuru kwa sababu vita vina gharama kubwa ikiwa ni pamoja na kuua watu wasio na hatia
Kimebainisha kuwa wakati wote kimekuwa kikisimamia Haki na Usawa kwa Imani yake kwamba Binadamu wote ni sawa.
Hayo yamesemwa na Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali mstaafu Ngemela Lubinga wakati akizungumza na...
9 years ago
StarTV04 Sep
CHADEMA kuhakikisha fedha za mrabaha zinawanufaisha wananchi
Mgombea ubunge jimbo la Tarime vijijini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amesema kama wananchi watamchagua kuwa mbunge wa jimbo hilo atahakikisha wananufaika na pesa za mrabaha zinazotolewa kila mwaka na kampuni ya kuchimba madini ya ACACIA.
Amesema fedha hizo zitatumika kulipa pensheni kwa wazee wa jimbo hilo na kuhakikisha kila mmoja anakuwa na fursa sawa kuweza kupata fedha hizo za mrahaba zinazotolewa.
Heche amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kampeni za...
5 years ago
MichuziZanzibar kuendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kutekeleza sera kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa matibabu bure pamoja na kuwasafirisha Wagonjwa nje ya nchi.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed huko Hospitali ya Rufaa Mnazi mmoja katika Wodi ya Wagonjwa wa Ngozi .
Alisema Serikali haijashindwa kuwahudumia wananchi wake hivyo si vyema kuisambaza picha ya Mgonjwa katika mitandao ya kijamii kwa nia ya kutafuta michango ya wafadhili...
11 years ago
Habarileo26 Jan
Dk Mukangara ataka wakufunzi kusaidia wajasiriamali vijijini
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amewataka wakufunzi wa wajasiriamali nchini kuhakikisha wanawasaidia wajasiriamali hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Mtaka ataka jamii kusaidia wenye uhitaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, ameitaka jamii kubadilika na kuwasaidia watu wenye kuhitaji misaada mbalimbali badala ya kujinufaisha wenyewe kwa mambo yasiyo na tija. Mtaka alitoa kauli...