Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali isijiingize kukandamiza uhuru wa habari

Serikali inakusudia kuwasilisha bungeni, miswada miwili ya Haki ya Kupata Habari na ule wa Huduma za Vyombo vya Habari ili iweze kupitishwa kuwa sheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ataka Serikali kuhakikisha uhuru wa habari kusaidia wananchi

Mwanahabari Nguli nchini, Jenerali Ulimwengu.MWANDISHI mkongwe Jenerali Ulimwengu alinyakua tuzo ya Utumishi Uliotukuka katika Tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kutokana na mchango wake katika tasnia ya habari na kukemea maovu bila woga kwa kutumia kalamu yake.

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Serikali isiogope uhuru wa vyombo vya habari

>Kati ya mijadala ya Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma, ule  wa Wizara Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ulinigusa zaidi kutokana na taaluma ninayofanyia kazi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari

IMG_2832

Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upinzani wataka sheria ya uhuru wa habari

KAMBI Rasmi ya Upinzani, imeitaka Serikali kuharakisha mchakato wa kupata sheria mpya ya uhuru wa vyombo vya habari ili  kufuta sheria kandamizi  zinazominya uhuru wa habari. Kauli hiyo ilitolewa jana...

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI

Mwanahabari na Bloga, Majid Mjengwa akizungumza katika mkutano huo.Mwanahabari na Bloga, Maggid Mjengwa akizungumza katika mkutano huo.Na Joachim Mushi, MorogoroUMOJA wa Nchi za Ulaya nchini Tanzania (EU) umepinga vikali vitendo vya kikatili na unyanyasaji ambavyo wamekuwa wakifanyiwa waandishi wa habari na vyombo vya dola vya Serikali wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao ambapo ilitokea mwanahabari mmoja kuuwawa. Alisema hawatachoka kukemea matukio hayo ya unyanyasaji kwani yanafifisha uhuru wa habari.Akizungumza jana mjini Morogoro katika Maadhimisho ya...

 

10 years ago

Habarileo

Mahiga aapa kulinda uhuru wa habari

Dk Augustine Maiga ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Dk Augustine Maiga (70) ameahidi kuheshimu na kulinda uhuru wa vyombo vya habari kwa kuzirekebisha sheria zote zinazolalamikiwa na wadau kuminya uhuru huo endapo nia yake ya kuwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania itafanikiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhuru wa habari kuadhimishwa Arusha Mei 3

>Uhuru wa vyombo vya habari kwa utawala bora na maendeleo ni kaulimbiu itakayoongoza maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani ambayo hapa nchini yatafanyika jijini Arusha.

 

11 years ago

Mwananchi

Tutatetea kwa nguvu uhuru wa habari-Mukajanga

Katibu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga amesema uwepo wa wanahabari na wadau wa habari kwenye Bunge la Katiba kutasaidia kutetea kwa nguvu zake zote vipengele vinavyotoa haki ya uhuru wa habari kwenye Rasimu ya Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani