SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI
Mwanahabari na Bloga, Maggid Mjengwa akizungumza katika mkutano huo.Na Joachim Mushi, MorogoroUMOJA wa Nchi za Ulaya nchini Tanzania (EU) umepinga vikali vitendo vya kikatili na unyanyasaji ambavyo wamekuwa wakifanyiwa waandishi wa habari na vyombo vya dola vya Serikali wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao ambapo ilitokea mwanahabari mmoja kuuwawa. Alisema hawatachoka kukemea matukio hayo ya unyanyasaji kwani yanafifisha uhuru wa habari.Akizungumza jana mjini Morogoro katika Maadhimisho ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Mwananchi04 Jun
DIRA: Serikali isiogope uhuru wa vyombo vya habari
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
9 years ago
Michuzi17 Sep
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Maadhimisho Siku ya Vyombo vya Habari kufanyika Arusha
WAANDISHI wa habari nchini wanatarajiwa kuungana na wenzao duniani katika maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani (WPFD), yanayotarajiwa kufanyika Mei 2-3. Akitangaza sherehe hizo jijini Dar...
11 years ago
Michuzi02 Jun
UHURU KWA VYOMBO VYA HABARI UNA I "SHAPE" JAMII ASEMA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII-NYARANDU
Globu ya Jamii aliyekuwa jijini Mwanza.
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI