Upinzani wataka sheria ya uhuru wa habari
KAMBI Rasmi ya Upinzani, imeitaka Serikali kuharakisha mchakato wa kupata sheria mpya ya uhuru wa vyombo vya habari ili kufuta sheria kandamizi zinazominya uhuru wa habari. Kauli hiyo ilitolewa jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Upinzani wataka Pinda afukuzwe
KUTOKANA na kashfa za ufisadi zinazozidi kuiandama Serikali ya Rais Jakaya Kikwete huku kukionekana kuwepo kwa danadana katika kuchukua hatua dhidi ya wahusika, Kambi ya Upinzani Bungeni imemtaka Rais kumfukuza...
10 years ago
Mwananchi05 Aug
JK asaini sheria zilizopingwa na upinzani
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Upinzani wahofia muswada wa sheria ya takwimu
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Sheria mpya yaanza kutumika TZ licha ya upinzani
10 years ago
Vijimambo11 Jun
Mbowe: Sheria tata zinalenga kudhibiti upinzani Oktoba.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbowe-11June2015.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, (pichani) amesema sheria tatu za makosa ya jinai zilizo mbioni kupitishwa na serikali, zimelenga kuwanyamazisha wapinzani kwenye uchaguzi mkuu ujao, ili wasiweze kuanika madudu ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika taarifa yake iliyopatikana jana jijini Dar es Salaam, Mbowe alizitaja sheria hizo ambazo ama zimesainiwa au zinasubiri saini...
10 years ago
Habarileo05 Jul
Wataka Sheria ya Manunuzi kurejewa
SERIKALI imeombwa kuifanyia marekebisho Sheria ya Manunuzi ya Umma ili kuondoa baadhi ya vipengele ambavyo hutumiwa na watumishi wasio waaminifu kama mwanya wa kujinufaisha wao binafsi.
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Kenya wataka sheria ya ushoga
11 years ago
Habarileo17 Jul
Wataka sheria iruhusu wazazi wachapwe
BAADHI ya wazazi wa kata ya Lusaka wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wametaka sheria ndogo itakayowapatia uwezo wa kisheria walimu wa shule za msingi na sekondari kuwapiga viboko baadhi ya wazazi wanaokataa kugharamia mahitaji ya watoto wao shuleni ikiwemo kutolipa ada za shule.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wataka sheria za usalama barabarani kuzingatiwa
BAADHI ya washindi wa pikipiki kutoka promosheni ya Jishindie Bodaboda inayoendeshwa na Kampuni ya Vodacom wamehimiza umuhimu wa vyombo vinavyohusika na usalama barabarani kuchukua hatua za makusudi kuimarisha usalama ili...