Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani wataka Pinda afukuzwe

KUTOKANA na kashfa za ufisadi zinazozidi kuiandama Serikali ya Rais Jakaya Kikwete huku kukionekana kuwepo kwa danadana katika kuchukua hatua dhidi ya wahusika, Kambi ya Upinzani Bungeni imemtaka Rais kumfukuza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai Kagera wataka mwekezaji afukuzwe

Wakulima wa chai mkoani Kagera, wameomba mwekezaji wa Kampuni ya Kagera Coffee Ltd, afukuzwe kwa kile wanachodai hana uhusiano mzuri na wakulima.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upinzani wataka sheria ya uhuru wa habari

KAMBI Rasmi ya Upinzani, imeitaka Serikali kuharakisha mchakato wa kupata sheria mpya ya uhuru wa vyombo vya habari ili  kufuta sheria kandamizi  zinazominya uhuru wa habari. Kauli hiyo ilitolewa jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawakili kesi ya Pinda wataka itupwe

UPANDE wa Jamhuri umeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Ombi hilo liliwasilishwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maswa wataka Pinda amtimue mkurugenzi

WANANCHI wilayani Maswa, Simiyu, wamemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kumwondoa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Hilda Lauwo, kwa madai hana uwezo wa kuongoza halmashauri hiyo. Wananchi wamefikia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Benitez ahisi vyombo vya habari kumfanyia kampeni ili afukuzwe kazi

392319-rafael-benitez-pc-serious-7

Rafa Benitez

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez amesema anahisi kuna kampeni zinafanywa na vyombo vya habari kuhusu yeye, klabu na rais wa klabu, Florentino Perez kuhusu tuhuma mbalimbali zinazosemwa zinazoweza pelekea afukuzwe kazi.

Akizungumza na vyombo vya habari, Benitez alisema kuwa kuna habari zimekuwa zikitolewa na vyombo vya habari kuhusu uendeshaji wake wa klabu hiyo jambo ambalo sio sahihi.

“Kuna kampeni kati ya mimi, kuhusu klabu na Perez na kila...

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani