Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswa wataka Pinda amtimue mkurugenzi

WANANCHI wilayani Maswa, Simiyu, wamemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kumwondoa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Hilda Lauwo, kwa madai hana uwezo wa kuongoza halmashauri hiyo. Wananchi wamefikia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Maswa wamjia juu mkurugenzi

MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, wamemjia juu mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo, wakimtaka atoe maelezo ni kwa nini anashindwa kuwaalika waandishi wa habari hasa...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanri amtwanga mkwara mzito Mkurugenzi Maswa

Aggrey Mwanri NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Aggrey Mwanri amempa siku 30 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wazee wanaostahili kupewa matibabu bure wanaorodheshwa haraka.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wataka mkurugenzi asimamishwe

>Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, limepitisha maazimio ya kumtaka Rais Jakaya Kikwete, kumsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi wa manispaa hiyo, Shaban Ntarambe.

 

11 years ago

Habarileo

Wataka mkurugenzi kuhamia makao makuu ya wilaya

MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wamemwagiza Mkurugenzi wa halmashauri hiyo na wataalamu wake kuhakikisha anahamishia ofisi zake Matai ambako ni Makao Makuu ya wilaya mpya ifikapo Aprili mosi, mwaka huu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Upinzani wataka Pinda afukuzwe

KUTOKANA na kashfa za ufisadi zinazozidi kuiandama Serikali ya Rais Jakaya Kikwete huku kukionekana kuwepo kwa danadana katika kuchukua hatua dhidi ya wahusika, Kambi ya Upinzani Bungeni imemtaka Rais kumfukuza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawakili kesi ya Pinda wataka itupwe

UPANDE wa Jamhuri umeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Ombi hilo liliwasilishwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi amvimbia Pinda

SIKU chache baada ya wananchi wa wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kumtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda amwondoe mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo kwa madai ya kushindwa kuendesha...

 

9 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara achinjwa Maswa

MFANYABIASHARA mmoja, Robert Dwese (43), mkazi wa Biafra Maswa Mjini ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni na usoni na kufa papo hapo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti Maswa hatihati kutekelezwa

BAJETI ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu ya 2014/2015 iliyopitishwa na baraza la madiwani wa halmashauri hiyo huenda isifikie malengo kutokana na wakulima wa pamba kudai kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani