Madiwani wataka mkurugenzi asimamishwe
>Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, limepitisha maazimio ya kumtaka Rais Jakaya Kikwete, kumsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi wa manispaa hiyo, Shaban Ntarambe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Madiwani wamkataa Mkurugenzi
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, limemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kumtafutia kituo kingine cha kazi Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Samweli Sarianga, kutokana na kushindwa...
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Madiwani Nzega wataka bei ya pamba iboroshwe
MADIWANI wa halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora wameiomba serikali kuangalia upya bei ya zao la pamba. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao cha baraza la...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Madiwani, Mkurugenzi Arusha wavutana
KIKAO cha Baraza la Madiwani cha Jiji la Arusha kimeshindwa kufanyika baada ya madiwani kupitisha hoja ya kukaa kama kamati wakitaka kujadili nidhamu ya Mkurugenzi wa jiji hilo, Sipora Liana,...
10 years ago
Habarileo25 Oct
Madiwani Simanjiro wamkataa Mkurugenzi
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, juzi liligeuka kuwa kamati ili kujadili ajenda namba tano iliyokuwa ikihusu kupunguzwa kwa posho za vikao vya madiwani kutoka Sh 80,000 kwa kila diwani hadi Sh 40,000.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Madiwani Kalambo wamgomea mkurugenzi
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Philibert Ngaponda, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya madiwani kugoma kuendelea na kikao cha Baraza la Madiwani kutokana na kile...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Mkurugenzi awaasa madiwani wa Jiji
MADIWANI na watendaji wa kata 12 za halmashauri ya jiji la Mwanza, wametakiwa kuweka takwimu katika taarifa zao za utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya kata kubaini ukubwa wa matatizo.
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Madiwani Maswa wamjia juu mkurugenzi
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, wamemjia juu mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Hilda Lauwo, wakimtaka atoe maelezo ni kwa nini anashindwa kuwaalika waandishi wa habari hasa...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Madiwani walaani jaribio la kumuua mkurugenzi