Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Nzega wataka bei ya pamba iboroshwe

MADIWANI wa halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora wameiomba serikali kuangalia upya bei ya zao la pamba. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao cha baraza la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wakulima Nzega walalamikia pembejeo za kilimo cha pamba

Baadhi ya wakulima wa Pamba wilayani Nzega mkoani Tabora wameingiwa hofu ya kukiuka kalenda ya uzalishaji wa zao hilo kutokana na kucheleweshewa pembejeo za kilimo hicho zikiwemo mbegu.

Kwa mujibu wa kalenda ya Pamba kanda ya magharibi, ifikapo Novemba 15 hadi Desemba 15, zao hilo linapaswa kuwa limepandwa ili kuepuka mazalia ya wadudu waharibifu pamoja na kuimarisha ustawi wa zao hilo.

Mvua  za masika zimekwisha  anza kunyesha, wakulima  wengine wanaendelea  na shuguli za kilimo, hofu  ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbegu za pamba zawaliza madiwani

Wakulima wa pamba katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, mkoani Shinyanga wanashindwa kununua mbegu kwa ajili ya msimu ujao wa kilimo kwa madai kwamba bei imepanda kutoka Sh300 kwa kilo hadi Sh500.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Nzega walia na wanasiasa

MADIWANI wa Halamashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, wametaka wanasiasa kutoingiza siasa kwenye miradi ya maendeleo. Baadhi ya madiwani waliyozungumza na Tanzania Daima mara baada ya kuwasilisha taarifa za...

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wapinga kilimo cha pamba mkataba

>Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe, mkoani hapa wamepinga kitendo cha Serikali kuhamasisha kilimo cha mkataba wa pamba, huku wakitaka elimu itolewe kwa wananchi kulima alizeti ili kuondokana na maisha duni

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanunuzi wa pamba watakiwa kufuata bei elekezi

BODI ya Pamba Tanzania (TCB), imesema mnunuzi atakayenunua pamba kwa bei chini ya bei elekezi, atakuwa anavunja sheria na taratibu zinazosimamia zao hilo. Mkurugenzi Mkuu wa TCB, Gabriel Mwalo, amesema...

 

10 years ago

Vijimambo

3CHICKZ WANAKULETEA AFRICAN PRINTS "PAMBA ZA KIJANJA" KWA BEI POA...PIA NYWELE NA VIPODOZI VINAPATIKANA!



























3chickz wanakuletea viwalo vyenye ladha ya kiafrika kwa bei poa kabisaa. Pata kivazi chako kikali na cha kijanja. Usikose maana wajanja wote mujini wanazo kasoro wewe tu.
Kwa mawasiliano waweza kutupata katika namba +1(347)-663-0781 na pia unaweza kutu follow kwenye Instagram (3chicks_bahia) ili upate kuona mambo mazuri zaidi.SASA

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wataka mkurugenzi asimamishwe

>Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, limepitisha maazimio ya kumtaka Rais Jakaya Kikwete, kumsimamisha kazi kwa muda mkurugenzi wa manispaa hiyo, Shaban Ntarambe.

 

5 years ago

Michuzi

Madiwani wataka maridhiano kesi dhidi ya halmashauri yao zimalizwe

Na Amiri Kilagalila,Njombe

Akiwasilisha taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali kwa Mwaka 2018/2019 mweka Hazina wa Halmashauri ya mji Njombe Bi. Dorcas Mkello amesema kuwa Halmashauri ilipata Hati inayoridhisha (Hati Safi) yenye masuala mawili ya msisitizo ambapo moja ni miradi ya maji kuhamia Ruwasa na pili ikiwa ni kesi za madai yenye kiasi cha Tshs. 215,384,844 ambapo kama uamuzi utatoka juu ya walalamikaji Halmashauri itatakiwa kulipa fedha hizo.

Wakitoa mapendekezo yao wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani