Madiwani wataka maridhiano kesi dhidi ya halmashauri yao zimalizwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-Oz6AYMFvgHg/Xt5ZAhzOZSI/AAAAAAALtGM/hXzgt24Ykn4Q3D_MGnWyeXE7jHsGRcicQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-08-05h36m15s766.png)
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Akiwasilisha taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali kwa Mwaka 2018/2019 mweka Hazina wa Halmashauri ya mji Njombe Bi. Dorcas Mkello amesema kuwa Halmashauri ilipata Hati inayoridhisha (Hati Safi) yenye masuala mawili ya msisitizo ambapo moja ni miradi ya maji kuhamia Ruwasa na pili ikiwa ni kesi za madai yenye kiasi cha Tshs. 215,384,844 ambapo kama uamuzi utatoka juu ya walalamikaji Halmashauri itatakiwa kulipa fedha hizo.
Wakitoa mapendekezo yao wakati...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Aug
Msikiti wataka maelezo kesi yao kuchelewa
WADHAMINI wa Msikiti wa Mtoro, Dar es Salaam wamemuandikia barua Jaji Mkuu wa Tanzania, Othmani Chande, wakitaka maelezo ya kina kuhusu kuchelewa kushughulikiwa kwa rufaa ya kesi yao nambari 3/2004 iliyopo Mahakama ya Rufaa kwa mwaka wa 10 sasa.
11 years ago
Tanzania Daima14 May
SCOC wataka maridhiano Bunge la Katiba
KAMATI Maalumu ya Wataalamu wa Katiba (SCOC) imetaka mamlaka ya juu ya nchi kuutafutia suluhu mgogoro uliosababisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge Maalumu la Katiba....
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
ACT wataka maridhiano Bunge la Katiba
CHAMA cha Aliance for Change and Transparency (ACT- Tanzania), kimeyataka makundi yanayosigana ndani ya Bunge Maalum la Katiba watafute maridhiano yatakayowezesha kupatikana kwa katiba iliyo bora. ACT-Tanzania imeyataka makundi hayo...
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Mivutano yaendelea kulitafuna #Bunge la #Katiba, wajumbe wataka maridhiano [VIDEO]
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SMaREi8F-VE/VTdksjpG7MI/AAAAAAAAbWc/6PPo7mQ8TK4/s72-c/1.jpg)
Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMaREi8F-VE/VTdksjpG7MI/AAAAAAAAbWc/6PPo7mQ8TK4/s640/1.jpg)
Wengine ni Buksh Mohamed,...
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Madiwani wataka mkurugenzi asimamishwe
11 years ago
Habarileo16 Mar
Madiwani wamtimua M/Kiti Halmashauri Korogwe
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga, limemng’oa mwenyekiti wake, Sadik Kalaghe kutokana na tuhuma mbalimbali ikiwemo ya matumizi mabaya ya madaraka.