Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msikiti wataka maelezo kesi yao kuchelewa

WADHAMINI wa Msikiti wa Mtoro, Dar es Salaam wamemuandikia barua Jaji Mkuu wa Tanzania, Othmani Chande, wakitaka maelezo ya kina kuhusu kuchelewa kushughulikiwa kwa rufaa ya kesi yao nambari 3/2004 iliyopo Mahakama ya Rufaa kwa mwaka wa 10 sasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Madiwani wataka maridhiano kesi dhidi ya halmashauri yao zimalizwe

Na Amiri Kilagalila,Njombe

Akiwasilisha taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali kwa Mwaka 2018/2019 mweka Hazina wa Halmashauri ya mji Njombe Bi. Dorcas Mkello amesema kuwa Halmashauri ilipata Hati inayoridhisha (Hati Safi) yenye masuala mawili ya msisitizo ambapo moja ni miradi ya maji kuhamia Ruwasa na pili ikiwa ni kesi za madai yenye kiasi cha Tshs. 215,384,844 ambapo kama uamuzi utatoka juu ya walalamikaji Halmashauri itatakiwa kulipa fedha hizo.

Wakitoa mapendekezo yao wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪

Raia 12 wa Iran na Pakistan wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin kilo 200.5, zenye thamani ya sh. bilioni 9.02, wamelalamikia kucheleweshwa kwa kesi yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Washtakiwa hao ni Kapteni Ayoub Mohamed, Buksh Mohamed, Fahiz Dauda, Khalid Ally, Abdul Somad, Saeed Sahury, Bashir Afraz, Morad Gwaram na Hazir Azad, wote raia wa Iran ambao walikamatwa kwenye Bahari ya Tanzania.
Wengine ni Buksh Mohamed,...

 

10 years ago

Michuzi

kesi ya bosi wa bandari na msaidizi wake: upelelezi wakamilika, maelezo ya awali kusikilizwa septemba 11, 2014


Na Sultani Kipingo, MahakamaniUPANDE wa Jamhuri katika kesi inayomkabili aliyekuwa  Mkurugenzi wa Mlamkala ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraimu Mgawe na msaidizi wake, umedai kwamba upelelezi umekamilika dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa kusaini mkataba wa kuipa kazi Kampuni ya Ujenzi ya China Communications Ltd bila kutangaza zabuni.Madai hayo yalitolewa leo na upande wa Jamhuri katika kesi hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mfawidhi, Isaya Arufani kwamba...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka kesi za udhalilishaji kuharakishwa

WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia, wamevitaka vyombo vya sheria nchini ikiwemo Mahakama, kuzipatia ufumbuzi wa haraka kesi za udhalilishaji wa kijinsia, ikiwemo ubakaji. Ofisa wa Utetezi wa Chama cha Waandishi wa Habari (TAMWA), Asha Abdi alisema jumla ya kesi 996 ziliripotiwa katika vituo vya Polisi Unguja na Pemba.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA SASA WATAKA WANAJESHI WACHEZE LIGI KUU YAO

Uongozi wa klabu ya Yanga umeshauri timu za majeshi kupewa nafasi ya kushiriki Ligi Kuu Bara ya wanajeshi.Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe (kushoto) akiwa amekabwa roba na mchezaji…Msemaji na mkuu wa kitengo cha Yanga, Jerry Muro amesema timu za majeshi zimekuwa zikigeusa mchezo wa soka kama vita."Kweli ile ni vita na si jambo jema. Hivyo tunawaomba kama TFF wataweza basi wawape nafasi watu hawa kucheza ligi yao."Wacheze timu za majeshi maana wao watakuwa wana mbinu za kijeshi kupambana....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigoma wataka waunganishwe kesi ya Kafulila

WANANCHI wa Kigoma Kusini, wamesema wapo tayari kuunganishwa katika kesi ya mbunge wao, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), wakidai kuwa sasa kiburi cha Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inabidi kifike mwisho....

 

10 years ago

Habarileo

Wataka kesi udhalilishaji wa kijinsia ziharakishwe

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wakiwemo wale wanaounda Umoja wa Wanawake (Uwawaza) wameitaka Serikali kuchukua juhudi za kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na kuvitaka vyombo vya sheria ikiwemo mahakama kuharakisha kesi hizo ili zitolewe hukumu zake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawakili kesi ya Pinda wataka itupwe

UPANDE wa Jamhuri umeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Ombi hilo liliwasilishwa...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAKUNGA, KIBANDA BAADA YA KUSHINDA KESI YAO KISUTU LEO

Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda akiongea na waandishi baada ya kushinda kesi katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu. Wakili wa washitakiwa, Nyaloni Mwita akiongea na waandishi wa habari nje ya mahakama.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani