Wataka kesi udhalilishaji wa kijinsia ziharakishwe
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wakiwemo wale wanaounda Umoja wa Wanawake (Uwawaza) wameitaka Serikali kuchukua juhudi za kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na kuvitaka vyombo vya sheria ikiwemo mahakama kuharakisha kesi hizo ili zitolewe hukumu zake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Feb
Wataka kesi za udhalilishaji kuharakishwa
WANAHARAKATI wanaopambana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia, wamevitaka vyombo vya sheria nchini ikiwemo Mahakama, kuzipatia ufumbuzi wa haraka kesi za udhalilishaji wa kijinsia, ikiwemo ubakaji. Ofisa wa Utetezi wa Chama cha Waandishi wa Habari (TAMWA), Asha Abdi alisema jumla ya kesi 996 ziliripotiwa katika vituo vya Polisi Unguja na Pemba.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
‘Kesi za mauaji ya albino ziharakishwe’
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
UN, SMZ kushirikiana kukomesha udhalilishaji wa kijinsia
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Dawati la Jinsia na Watoto, Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Kijiji cha Mahonda wakati wa ziara fupi ya kukagua miradi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa visiwani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja huo tangu kuanzishwa.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na...
11 years ago
Habarileo30 Jul
Rais Shein ataka udhalilishaji wa kijinsia kukomeshwa
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametaka miezi iliyobakia ya mwaka wa 2014, iwe ya kupambana na kutokomeza vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia. Katika utekelezaji wa agizo hilo, Dk Shein ametaka vyombo vya sheria kuchukua hatua za kisheria kwa wahusika watakaobainika kufanya matukio hayo.
10 years ago
Vijimambo26 Mar
TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
![Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Baadhi-ya-wateja-wa-nguo-wakichagua-nguo-kwenye-soko-la-Mchikichini.jpg)
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blogMiongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es Salaam....
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TAHARIRI: Tabia hii ya wauza mitumba soko la Mchikichini ni udhalilishaji wa kijinsia
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.
Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Baadhi-ya-wateja-wa-nguo-wakichagua-nguo-kwenye-soko-la-Mchikichini.jpg?width=640)
TAHARIRI: TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iquCSu62bQM/U5n2sf0_wWI/AAAAAAAFqK4/oFp7PnWp1p4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-iquCSu62bQM/U5n2sf0_wWI/AAAAAAAFqK4/oFp7PnWp1p4/s1600/unnamed+(40).jpg)