UN, SMZ kushirikiana kukomesha udhalilishaji wa kijinsia
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Dawati la Jinsia na Watoto, Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Kijiji cha Mahonda wakati wa ziara fupi ya kukagua miradi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa visiwani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja huo tangu kuanzishwa.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Dec
‘Dawati la jinsia litumike kukomesha udhalilishaji’
WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wametakiwa kulitumia dawati la matukio ya vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia, ikiwamo ubakaji ili kukomesha matukio hayo moja kwa moja.
10 years ago
Habarileo06 Jun
Wataka kesi udhalilishaji wa kijinsia ziharakishwe
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wakiwemo wale wanaounda Umoja wa Wanawake (Uwawaza) wameitaka Serikali kuchukua juhudi za kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na kuvitaka vyombo vya sheria ikiwemo mahakama kuharakisha kesi hizo ili zitolewe hukumu zake.
11 years ago
Habarileo30 Jul
Rais Shein ataka udhalilishaji wa kijinsia kukomeshwa
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametaka miezi iliyobakia ya mwaka wa 2014, iwe ya kupambana na kutokomeza vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia. Katika utekelezaji wa agizo hilo, Dk Shein ametaka vyombo vya sheria kuchukua hatua za kisheria kwa wahusika watakaobainika kufanya matukio hayo.
10 years ago
Vijimambo26 Mar
TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
![Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Baadhi-ya-wateja-wa-nguo-wakichagua-nguo-kwenye-soko-la-Mchikichini.jpg)
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blogMiongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es Salaam....
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TAHARIRI: Tabia hii ya wauza mitumba soko la Mchikichini ni udhalilishaji wa kijinsia
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.
Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kwu5EiQUMjY/U-8t4blY7RI/AAAAAAAF__0/1Arv5UIDCI4/s72-c/Police1.jpg)
POLISI WAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kwu5EiQUMjY/U-8t4blY7RI/AAAAAAAF__0/1Arv5UIDCI4/s1600/Police1.jpg)
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo aliyasema jana wakati akifunga semina ya mafunzo ya siku tano yaliyotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi pamoja na wadau wa Jeshi hilo katika mkoa wa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/Baadhi-ya-wateja-wa-nguo-wakichagua-nguo-kwenye-soko-la-Mchikichini.jpg?width=640)
TAHARIRI: TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H4wj_X4e5Hk/U5cfPQ6CUoI/AAAAAAAFpiU/ZdmwUYNHpvA/s72-c/1.+Hon.+Bernard+K.+Membe.jpg)
WAZIRI MEMBE AALIKWA LONDON KUHUDHURIA MKUTANO KUHUSU UKOMESHAJI WA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA KWENYE MIGORORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-H4wj_X4e5Hk/U5cfPQ6CUoI/AAAAAAAFpiU/ZdmwUYNHpvA/s1600/1.+Hon.+Bernard+K.+Membe.jpg)
Mwaliko huo unakuja kufuatia mchango mkubwa wa Tanzania katika kufanikisha kuwepo kwa Tamko la Umoja wa Mataifa linalohusu suala hilo (Declaration of Commitment...