‘Dawati la jinsia litumike kukomesha udhalilishaji’
WANANCHI wa Mkoa wa Kaskazini Unguja wametakiwa kulitumia dawati la matukio ya vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia, ikiwamo ubakaji ili kukomesha matukio hayo moja kwa moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
UN, SMZ kushirikiana kukomesha udhalilishaji wa kijinsia
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Dawati la Jinsia na Watoto, Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Kijiji cha Mahonda wakati wa ziara fupi ya kukagua miradi inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa visiwani humo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja huo tangu kuanzishwa.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na...
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Polisi wapiga msasa dawati la jinsia
JESHI la Polisi mkoani Dodoma, limeendesha semina ya mafunzo maalumu wilayani Kongwa, kwa askari wanaofanyakazi Dawati la Jinsia na Watoto juu ya namna sahihi ya kushughulikia makosa yote ya ukatili...
11 years ago
MichuziIGP MANGU AFUNGUA JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO MKOA WA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi.jpg)
NAIBU WAZIRI, DKT. PINDI CHANA ATEMBELEA DAWATI LA JINSIA LA POLISI LA WILAYA DODOMA
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Temeke
FINAL_Press Release German First Lady Visit_03022015.docx by moblog
Mke wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt akisalimiana na maofisa wa Jeshi la Polisi wakati alipotembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Cha Temeke jana.
Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto kutoka Jeshi la Polisi Tanzania, DCP Adolphina Chialo akitoa ripoti ya dawati la jinsia na watoto tokea kuanzishwa kwake wakati mke wa rais wa Ujerumani Bi Daniella Schadt alipotembelea dawati la jinsia na...
10 years ago
Michuzi
Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni anayesimamia Dawati la jinsia, Inspekta Prica Komba atembelea kambi ya wakimbizi


10 years ago
MichuziFirst lady wa Rais wa Ujerumani, Bi Daniella Schadt atembelea Dawati la Jinsia na Watoto katika Kituo cha Polisi Temeke leo.